True 100% ila kwakuwa yamechujwa na kuwekwa katika mfumo wa vidonge/capsules/solutions, mtu anajisahau yame-originate wapi. Mbaya zaidi wengi wetu tumekuwa brainwashed na kuthamini vitu vya viwandani zaidi.Poor I. Q, molest his brain, 90% ya madawa ya hospitalini yanatokana na mitishamba.
Natoa siri kubwa mno, tafuta magome ya mti wa mkangazi kiasi fulani chemsha huyo mwenye fibroid awe anakunywa usiku wakati wa kulala inshaallah liuvimbe litaondoka /sorry to my fellow herbalist for put this openly!Mkuu,
hongera kwanza kazi nzuri sana mnayoifanya hapa jukwaani.
wewe na Crocodiletooth a.k.a jino la mamba mmetufanya tufumbuke macho na akili kwa sehemu kubwa sana.
Kwa upande wangu nina mwanamke anatamani sana kunizalia ila ana uvimbe kwenye kizazi huu ni mwaka wa tatu anasumbuka na tatizo
HAJAWAHI KWENDA HOSPITALI (sababu za kiuchumi)
naomba kujua dawa za asili za kumsaidia.
Yuko maeneo ya vijijini sana huko wakuu wangu
katoto kameumbika sana daah shida ndio hio sasa inayosumbua
Wala usihuzunike bado inaweza kua sababu ya wewe kutafutwa riziki zikaongezeka kwa dawa hiyo hiyo kwa maana nijuavyo si wote tunaweza kuziandaa hivyo bado kesi itarudi kwako utapata kituNatoa siri kubwa mno, tafuta magome ya mti wa mkangazi kiasi fulani chemsha huyo mwenye fibroid awe anakunywa usiku wakati wa kulala inshaallah liuvimbe litaondoka /sorry to my fellow herbalist for put this openly!
Hapana mkuu, issue za fibroid kwa kina mama ni shida kubwa kwelikweli.Wala usihuzunike bado inaweza kua sababu ya wewe kutafutwa riziki zikaongezeka kwa dawa hiyo hiyo kwa maana nijuavyo si wote tunaweza kuziandaa hivyo bado kesi itarudi kwako utapata kitu
Natoa siri kubwa mno, tafuta magome ya mti wa mkangazi kiasi fulani chemsha huyo mwenye fibroid awe anakunywa usiku wakati wa kulala inshaallah liuvimbe litaondoka /sorry to my fellow herbalist for put this openly!
Yapo mambo na mambo, mengine hapanaMkuu kwani ni vibaya kuweka wazi?
Tafuta miiba 3 ya cactus, ichome moto kwa kuikaanga kwenye chungu/sufuria jikoni mpaka iwe nyeusi tiii. Saga upate unga wake na wakuchanje utosini chale 3 tu, upakae huo unga. Hatokuingia sheitwan wa kijini wa asili au wa kutumwa.inatumikaje
Mkangazi ndio mti gani? Picha na jina lingine au jina lake la kisayansiNatoa siri kubwa mno, tafuta magome ya mti wa mkangazi kiasi fulani chemsha huyo mwenye fibroid awe anakunywa usiku wakati wa kulala inshaallah liuvimbe litaondoka /sorry to my fellow herbalist for put this openly!
Wazoefu wa miti wanaijua /mahogamy! Kama sijakoseaMkangazi ndio mti gani? Picha na jina lingine au jina lake la kisayansi
Huyo ni MCHAWI nimeona anatangaza kakitabu kake fulani... lakini ana jambo.Acha hizi chokochoko, hili ndo la msingi zaidi, mara utangaze biashara, mara uzuie watu kupost picha za kwenye kitabu mara mengine hayaendani na uzi,, fyaaaaaaaa usinichoshe bhana,,
Yukoje mkuu kapicha kidogoTafuta miiba 3 ya cactus, ichome moto kwa kuikaanga kwenye chungu/sufuria jikoni mpaka iwe nyeusi tiii. Saga upate unga wake na wakuchanje utosini chale 3 tu, upakae huo unga. Hatokuingia sheitwan wa kijini wa asili au wa kutumwa.
Cactus ni mmea. Na picha yake iko huko juu kwenye mtiririko wa uzi.Yukoje mkuu kapicha kidogo
pia hutumika kwenye maswala ya urembo wa ngoziManjano au (turmeric) ni kiungo au mzizi wenye property za panadol, au hupooza maumivu ya mwili, tunaweza kutumia kiungo hiki badala ya kunywa panadol, kila mara, ni Bora tukatumia manjano kwa kuchanganya na maziwa, kwani property zake pia huponya kifua kwa asilimia 100%.
°Nchini india watu hunywa mchanganyiko huu mara moja kwa mwaka kama kinga ya magonjwa ya kifua. /Kwa tiba kunywa mara kwa mara.
Hii naionaga ngoja nitafuteCactus ni mmea. Na picha yake iko huko juu kwenye mtiririko wa uzi.
Madonda ya tumbo,hormonal imbalance,na chango la uzazi.Nzuri sana.Kuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze