Ukileta picha yake nitag mkuuAlovera Poli ni dawa ya kurudisha kumbukumbuku Kwa mtu anayesahau mara Kwa mara lenyewe ni kubwa ivi afu ukilitafuna ni litamu si chungu kama haya ya kupandwa nikirudi kijijini nitapiga picha matumizi yake unalitafuna lenyewe likiwa bichi kipande kidogo
Mbili dawa ya kutibu mkanda jeshi au Kwa jina jingine unaitwa moto wa Mungu haya hadi niwe napicha pia manaa jina sjajui ila nikiyaona nayafahamu ni majani ambayo Huwa yanapenda kuota katikati ya mti au vichaka Yana vimajani vyembamba unachukua unatwanga unpaka sehemu ambayo imeathirika
Mkuu, Hilo nililichukua porini na kutokana na kujua umuhimu wake nikaliotesha nyumbani. Ninayo mashina yake takriban 4 na yanasitawi vizuri tu. Huwa nakula kama sehemu ya chakula kama unavyokula matunda.Ngoja nikapata picha yake nitaliweka ni kama Hilo alilotuma jamaa ila lenyewe linaota lenyewe sio la kupandwa
Mim linisadia sana Hilo niliumwa hadi nikawa napoteza kumbukumbuku mzee aliyekua ananitibia alivyogundua nasahau sana akawa ananipeleka porini kwenda kulitafuna hadi Leo kumbukumbuku zilirudi sababu ya Hilo dude ndio maana Huwa silisahau kirahisiMkuu, Hilo nililichukua porini na kutokana na kujua umuhimu wake nikaliotesha nyumbani. Ninayo mashina yake takriban 4 na yanasitawi vizuri tu. Huwa nakula kama sehemu ya chakula kama unavyokula matunda.
Hivi huu sio ule mti unaotoa madude tunayatumia km madodoki ya kuogea?Kwa walioulizia muegeya ndio huu hapa, wengine wanauita Mvunge.
View attachment 2276653View attachment 2276654
Mti au mmea unaotoa madodoki ya kuogea shina lake ni kama kamba -unatambaa au ukiwezeshwa unaweza kujishikiza na kutambalia kwenye mti au wigo. Ni mti unaotambaa mfano wa boga au tango pori. Lakini myegea (Kigellia africana) ni mti mkubwa kuukata ni lazima shoka au panga. Tunda lake lina ugumu fulani na haliwezi kutumika kuogea mkuu. Wengine wanalitumia tunda hilo kutengenezea pombe.Hivi huu sio ule mti unaotoa madude tunayatumia km madodoki ya kuogea?
Kama anaweza kupata magadi ya asili yatamsaidia sana.Chukua Bicarbonate of soda (baking soda) kijiko kimoja kisha changanyana glas ya maji kunywa. Utapona.
Kama hapo hamna chukua majivu koroga kwenye glasi kunywa itakusadia. Majivu na Bicarbonate of soda ni Base. You know what happens when Acid collide with Base.
Pole kwa kuumwa Favourisyourname
Mkuu kwahy unalitafuta Mara ngapi?Mim linisadia sana Hilo niliumwa hadi nikawa napoteza kumbukumbuku mzee aliyekua ananitibia alivyogundua nasahau sana akawa ananipeleka porini kwenda kulitafuna hadi Leo kumbukumbuku zilirudi sababu ya Hilo dude ndio maana Huwa silisahau kirahisi
Mim nilkua natafuna randomly ila nakumbuka nilitumia kama week mbili au moja ivi ndio nikawa sawa nilikua natafuna kipande kidogo Kila badaa ya mda mfrani usilitafune lolote Kwa mara moja unakaa masaa kazaa unamega kipande ,hadi unalimaliza lote ukiona hujakaa sawa unatafta jingine hadi urudishe kumbukumbuku zakoMkuu kwahy unalitafuta Mara ngapi?
Inawezekana kweli kaka ila inahitaji kujiepusha sana na makundi ya wenzio wanaotumia vitu hivyo.sasa mtihani unaanza pale wenzangu na mm tunajulika sana kakaMkuu pole sana aisee, fanya maamuzi magumu ndugu. Ukiamua utaweza amini hivyo kaka.
Mkuu, Tunaomba tupe baadhi ya aina za mafuta ya mgando yanayofaa e.g. yatokanayo na wanyama e.g. samli n.k. au yale ya dukani e.g. vaseline n.k. Asante kwa ku-share.Unga wa msamitu hii ni dawa Kwa ajili ya kuimarisha mishipa ya uume iliyolegea kutokana na sababu mbalimbali either iwe kujichua n.k namna ya kutumia unga wa msamitu unachukua unga wa msamitu kiasi unachanganya na mafuta ya mgando dheni unapaka Kweny uume Kwa siku kumi na nne na kuendelea wanashauri wakati unatumia jiepusheshe na kujichua na kufanya mapenzi ili dawa iweze kufanya kazi vizuri na utumie kiasi kidogo tu ukizidisha utavuta sana mishipa ni kidogo sana .na mara moja tu Kwa siku hasa nyakati za usiku .namna ya kupata unga huu ni kweny Maduka ya kisuna hasa kariakoo ni rahisi sana kupata na bei zake Huwa ni Kwa kupima kweny kijiko kuanzia shilingi mia 500 na Kwa mfuko mzima ni shilingi 3000 au 2000 kama sjakosea na ukibatika kupata mfuko mzima unaweza kutumia hadi miaka minne manaa ni mwingi sana angalizo hii si dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni dawa ya kuimarisha misuli iliyolegea hii dawa ni nzuri Kwa wale ambao mashine imesima hata hajazamisha mzigo ngoma inanywea kwahyo yenyewe inanaenda kufanya mishipa iwe na nguvu ili kuweza kuruhusu damu ipite kweny uume na kufanya uume uwe ngangali angalizo la pili huu sio mkongo Wala vixy lotion huu ni unga wa msamitu ni tofauti kabisa na mkongo mtu asije kuchanganya mafaili huu haupigi ganzi Bali unaimarisha misuli ya uume ili kuweza kuruhusu damu kuflow Kwa wingi kweny uume kuhusiana na bei ni hiyo nimetaja asije mtu akakuibia akakwambia ni 10000 sijui 20000 hapana bei zake ni 500,1000 Kwa kijiko na 3000 Kwa 5000 Kwa mfuko Kwa mlio dar kaliakoo ndio rahisi zaidi kupata na Kwa wale wa mikoani tafuteni watu mnao wafahamu wataftie kkoo watumie maana ni bei ndogo sana wa buku tu mtu unaweza kutumia hata miezi kumi au mwaka
Picha yake ni huo apo chiniView attachment 2309499
Kunywa chai ya tangawizi kali + kipande kidogo cha limau mara kwa mara na pia wakati wa kula Penda kula polepole Saga vizuri chakula mdomoni.Tiba ya kusikia kichefuchefu kila baada ya mida flani kinarudi tafadhali comments ziwe fupifupi mimi ni Me😁
Ucha mungu wa mda mrefu na utumishi na toba na siku moja moja unahubiri neno , mkuu! Ha ha ha!Nataka watu wasahau mabaya yangu,nafanyaje,
Jitahidi kutumia manjano (turmeric) katika kuandaa chakula chako.Je kuna dawa yyte ya kutokukufanya usahau mambo kwa haraka ?
utakuta mtu anaambiwa kitu flani ila baada ya mda kidogo tu anakua ameshakisahau je kuna tiba juu ya hili?