Unga wa msamitu hii ni dawa Kwa ajili ya kuimarisha mishipa ya uume iliyolegea kutokana na sababu mbalimbali either iwe kujichua n.k namna ya kutumia unga wa msamitu unachukua unga wa msamitu kiasi unachanganya na mafuta ya mgando dheni unapaka Kweny uume Kwa siku kumi na nne na kuendelea wanashauri wakati unatumia jiepusheshe na kujichua na kufanya mapenzi ili dawa iweze kufanya kazi vizuri na utumie kiasi kidogo tu ukizidisha utavuta sana mishipa ni kidogo sana .na mara moja tu Kwa siku hasa nyakati za usiku .namna ya kupata unga huu ni kweny Maduka ya kisuna hasa kariakoo ni rahisi sana kupata na bei zake Huwa ni Kwa kupima kweny kijiko kuanzia shilingi mia 500 na Kwa mfuko mzima ni shilingi 3000 au 2000 kama sjakosea na ukibatika kupata mfuko mzima unaweza kutumia hadi miaka minne manaa ni mwingi sana angalizo hii si dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni dawa ya kuimarisha misuli iliyolegea hii dawa ni nzuri Kwa wale ambao mashine imesima hata hajazamisha mzigo ngoma inanywea kwahyo yenyewe inanaenda kufanya mishipa iwe na nguvu ili kuweza kuruhusu damu ipite kweny uume na kufanya uume uwe ngangali angalizo la pili huu sio mkongo Wala vixy lotion huu ni unga wa msamitu ni tofauti kabisa na mkongo mtu asije kuchanganya mafaili huu haupigi ganzi Bali unaimarisha misuli ya uume ili kuweza kuruhusu damu kuflow Kwa wingi kweny uume kuhusiana na bei ni hiyo nimetaja asije mtu akakuibia akakwambia ni 10000 sijui 20000 hapana bei zake ni 500,1000 Kwa kijiko na 3000 Kwa 5000 Kwa mfuko Kwa mlio dar kaliakoo ndio rahisi zaidi kupata na Kwa wale wa mikoani tafuteni watu mnao wafahamu wataftie kkoo watumie maana ni bei ndogo sana wa buku tu mtu unaweza kutumia hata miezi kumi au mwaka
Picha yake ni huo apo chini
View attachment 2309499