Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
-
- #561
Weka bank, ikae kwa siku 7 itoe fanya yako, maana sumu ya pesa za namna hiyo ni kuikojolea tu, lakini huenda pia tatizo likawa juu yenu na biashara yenu.Mkuu @binnun Crocodiletooth
Msaada jinsi gan naweza kuisafisha pesa iliyofungwa isizalishe...yaan iko hiv kuna ndugu yangu anafanya kazi kwa tajiri fulan sema yule tajiri kaifunga hela yake kiasi kwamba hawezi kufanyia biashara yoyote au akifanya ataishia kupata hasara na hela ikamalizika yote..hata akitafuta mtaji sehem nyingine akiweka kwenye biashara akichanganya na ile tu bas inaisha yote
N.B MSHAHARA LAZIMA WAPEWE KWENYE BAHASHA...NA HAWAPEWI SIKU YA JUMATATU
Turmeric au manjano ni dawa nzuri mno kiasi haipaswa mtu kukosa ndani mwake, pia ni dawa nzuri nambari moja kwa matatizo mengi ya ini.Jitahidi kutumia manjano (turmeric) katika kuandaa chakula chako.
Kaka crocodiletooth naomba kama unajua dawa ya kusafisha meno yaliyochafuka yenye rangi kama kahawia iv.Turmeric au manjano ni dawa nzuri mno kiasi haipaswa mtu kukosa ndani mwake, pia ni dawa nzuri nambari moja kwa matatizo mengi ya ini.
Naomba unieleweshe huu dawa silijui kaka.mimi nipo Dodomamanjano (turmeric
Namanisha mafuta ya mgando ya kupaka mwilini mfano baby care,na mengineyo utakayo pataMkuu, Tunaomba tupe baadhi ya aina za mafuta ya mgando yanayofaa e.g. yatokanayo na wanyama e.g. samli n.k. au yale ya dukani e.g. vaseline n.k. Asante kwa ku-share.
Mafuta ya nazi je,Namanisha mafuta ya mgando ya kupaka mwilini mfano baby care,na mengineyo utakayo pata
Shukrani sana mkuu - AsanteNamanisha mafuta ya mgando ya kupaka mwilini mfano baby care,na mengineyo utakayo pata
Asante sana mkuu kwa endorsement. Naomba kama hutojali hebu tuelezee faida zake zaidi. Na kwa Ini inasaidia nn haswa.Turmeric au manjano ni dawa nzuri mno kiasi haipaswa mtu kukosa ndani mwake, pia ni dawa nzuri nambari moja kwa matatizo mengi ya ini.
Nenda sokoni majengo kwa wanaouza viungo. Waambie wakupe manjano. Watakuuliza ya unga au mbichi. Nashauri ununue ya hio mbichi imefanana na tangawizi. Ukifika home twanga uwe unakunywa chai yake..Naomba unieleweshe huu dawa silijui kaka.mimi nipo Dodoma
Ngoja wataalam wa hio waje watusaidie ndugu.Na ile ya kusafisha meno naomba unieleweshe maana yameharibiwa sana na sigara.... naomba kujua kaka
Mafuta ya mgando braza mfano baby care mafuta yenye asili ya kiminika hayatakiwiMafuta ya nazi je,
Nashukuru sana mkuu.Baby care
Ahaaa!!! ahsante sana kaka.ila karibu msosTumia bicarbonate katika kuchanganya na dawa ya mswaki yatangaa
Asante mkuu nitafanya ivo... have a nice weekendNdetere
jaribu kusema maneno kwa lugha uijuayo wewe pale utakapopata kiu ya kuvuta sigara.
Go behind me evil spirit (7 times)
Endelea kurudia tu hamu ikikujia. Ukiwa na nia thabiti utaacha kwa msaada wa MUNGU.