Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Mkuu unga unausaga hivhiv au unachoma kwanza ndio unasaga

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu naomba unisaidie iyo namba 6 kuna mtu naitaji arudi kwangu
 
Rituals ambazo nimeshuhudia maajabu yake kwa macho yangu live tena papo hapo.

KIVUTA WATEJA KWENYE BIASHARA

BOOM🌟🌟..zoom usome
 

Attachments

  • Screenshot_20220920-182300_1.jpg
    11.6 KB · Views: 126
  • Screenshot_20220920-182313_1.jpg
    9.9 KB · Views: 142
Unauza bei gani?
 
Habari zenu wakuu,ndg zangu mwenye kujua tiba asili za miwasho tusaidiana mana imekuwa mateso sasa,sipati hutulivu hata kidogo kutwa kujikuna hasa nyakati za usiku hadi niupate usingizi n kipengele
Unaita vipere baada ya kujikuna?
 
Kichomi : kama kinakupata marakwamara, jichunguze. Kuna miili Ina ugomvi namaji ya baridi hata kama una ishi kartumu chemsha maji kidogo yatoke kiubaridi ndio uoge.

Inje yahapo Kuna mmea nitaupiga picha nakuiweka hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…