Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Wanasema ukichukua unga wa kokwa la embe kwa mwanamke akiwa ananawa asubuhi na jioni kila kwa maji ya vuguvugu yenye huo unga uke utabana baada ya muda mfupi tu

Kwa mwanaume mwenye dhakari ndogo: pakaaa kwa kuuchua uume na mchanganyiko wa unga huo na mafuta ya ng'ombe kila ukienda kulala usiku, utaona matokeo yake kwa uwezo wa Mungu
Mkuu unga unausaga hivhiv au unachoma kwanza ndio unasaga

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20220920-175937_1.jpg
    Screenshot_20220920-175937_1.jpg
    42.9 KB · Views: 119
Weka mbali na watoto,hilo ni bomu la nyuklia.

Practical and effective

Easy to perform.

Cheap and commonly available ingreduents

No terms and conditions, you perform the rituals you see miracles live.

Only 55 pages.

No blah blah, sijui preface sijui acknowledgements. After Table of contents we start the business directly.

If you want to get effect X, you take a- b -c, then you do 1- 2- 3, wait for the miracles. Hakuna mbwebwe ndo maana Hata kitabu ni kifupi na kina mabomu hatari.

Crocodiletooth
Mkuu naomba unisaidie iyo namba 6 kuna mtu naitaji arudi kwangu
 
Rituals ambazo nimeshuhudia maajabu yake kwa macho yangu live tena papo hapo.

KIVUTA WATEJA KWENYE BIASHARA

BOOM🌟🌟..zoom usome
 

Attachments

  • Screenshot_20220920-182300_1.jpg
    Screenshot_20220920-182300_1.jpg
    11.6 KB · Views: 126
  • Screenshot_20220920-182313_1.jpg
    Screenshot_20220920-182313_1.jpg
    9.9 KB · Views: 142
Weka mbali na watoto,hilo ni bomu la nyuklia.

Practical and effective

Easy to perform.

Cheap and commonly available ingreduents

No terms and conditions, you perform the rituals you see miracles live.

Only 55 pages.

No blah blah, sijui preface sijui acknowledgements. After Table of contents we start the business directly.

If you want to get effect X, you take a- b -c, then you do 1- 2- 3, wait for the miracles. Hakuna mbwebwe ndo maana Hata kitabu ni kifupi na kina mabomu hatari.

Crocodiletooth
Unauza bei gani?
 
Habari zenu wakuu,ndg zangu mwenye kujua tiba asili za miwasho tusaidiana mana imekuwa mateso sasa,sipati hutulivu hata kidogo kutwa kujikuna hasa nyakati za usiku hadi niupate usingizi n kipengele
Unaita vipere baada ya kujikuna?
 
Msaada wenu wanajamvi.

1. Ipi tiba ya kichomi? Hali hii hunipata upande wa kushoto, pale napofanya mazoezi ya kukimbia au kutembea umbali mrefu kwa haraka.

2. Na tiba ya maumivu mf. wa uchovu wa misuli kwenye misuli ya bega la kushoto. Kuanzia shingoni kwenda ukanda wote wa bega la kushoto.
Kichomi : kama kinakupata marakwamara, jichunguze. Kuna miili Ina ugomvi namaji ya baridi hata kama una ishi kartumu chemsha maji kidogo yatoke kiubaridi ndio uoge.

Inje yahapo Kuna mmea nitaupiga picha nakuiweka hapa.
 
Back
Top Bottom