Waungwana sijapata mrejesho kwa hili sualaNdugu naombeni tiba kwa tatizo la kuoga maji baadae unaanza kuwashwa. Haijalishi uoge maji ya baridi au ya moto, yawe ya chumvi au yasiyo ya chumvi na mikoa tofauti lakini kuwashwa ni pale pale.
NB: Allergy ya ngozi mtu hana
Mkuu naona soft copy yakeNinacho[emoji41]View attachment 2363422
Aisee m sio mshirikina kijana na situmii ayo mambo yko unoyataka nilimkataa jamaa humu ndani kwasababu ya mambo kama haya na wengi wenu mnapenda awasaidie matatizo yenu ila mimi nimemkataa kabisaaaMkuu unapatikana wapi?
nahitaji kumiliki jini la Utambuzi
Kwani uki mjibu mtu kwa ustaarabu tu kuwa huna hiyo taaluma uta pungikiwa Kilo?Aisee m sio mshirikina kijana na situmii ayo mambo yko unoyataka nilimkataa jamaa humu ndani kwasababu ya mambo kama haya na wengi wenu mnapenda awasaidie matatizo yenu ila mimi nimemkataa kabisaaa
Ushirikina ndio dhambi kubwa mbele ya Allah
Maisha mafupi sana haya uyo
Shukrani sana mkuu kwa share nasi. Ila naomba hebu boresha yafuatayo:"Historia ya Binadam imetokana na mnyama, ulikuwa zamani unakaa misituni huko unakula mimea na mizizi hayo madawa ambayo yana chemical futilia mbali.
BURE kabisa, "dawa ya UTI nakupa warranteee!!! wa miaka 7 bila UTI nyumbani mwako
Chukua majani ya mchungwa vikombe 4, yaoshe yachemshe na mizizi yake au magombe jikoni
Tenga mezani kikombe kimoja tia kijiko kimoja cha chapa maandazi kunywa vikombe 4 kwa siku
Hutaenda kununua hizo dawa za UTI najua wapo wanaouza dawa za UTI BUT hizi mimea ni haki yako mtu mweusi kuijua ndio asili yako na sisi wasomi Elimu yako itoe tija kwa watu weusi wenye vichwa vigumu kuamini Mzungu ni BORA.
Mkuu mchungwa na limao ni kama jamii moja,je majani ya mlimao yanafaa?"Historia ya Binadam imetokana na mnyama, ulikuwa zamani unakaa misituni huko unakula mimea na mizizi hayo madawa ambayo yana chemical futilia mbali.
BURE kabisa, "dawa ya UTI nakupa warranteee!!! wa miaka 7 bila UTI nyumbani mwako
Chukua majani ya mchungwa vikombe 4, yaoshe yachemshe na mizizi yake au magombe jikoni
Tenga mezani kikombe kimoja tia kijiko kimoja cha chapa maandazi kunywa vikombe 4 kwa siku
Hutaenda kununua hizo dawa za UTI najua wapo wanaouza dawa za UTI BUT hizi mimea ni haki yako mtu mweusi kuijua ndio asili yako na sisi wasomi Elimu yako itoe tija kwa watu weusi wenye vichwa vigumu kuamini Mzungu ni BORA.
Cha kwanza tafuta mpenz wa kudumu na pili usikae peke yako kwenye mazingira ya sir muda mrefu na pili tafuta kijiwe au kampan ya kudumu na ikiwezekana focus sana kwenye kutafuta kipatoNaombeni msaada mi ni muanga wa punyeto na picha za utupu nmezamilia kuacha nahitaji msaada kutibu shida ya uume mdogo na kuwai kumwaga dawa za asili nina miaka kumi sasa toka nianze nyeto nikiwa form2 uboyzn