Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Nitumie kila siku?
 
Ndugu zangu nnashida imeanza juzi tu ila adi Leo ni siku ya 4 napata maumivu makali kwenye njia ya mkojo naumia sana sijui namaliza vipi tatizo hili naombeni msaada kwa anayejua dawa ya tatizo hili.
Kaka crocodiletooth swali hili naombeni
 
Hii inaweza kuzuia vipele ndevu kwenye uvungu wa kidevu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…