Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
- #1,041
Dawa gani mkuuKaka crocodiletooth mm ngedere1 naomba kujua dawa nateseka jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa gani mkuuKaka crocodiletooth mm ngedere1 naomba kujua dawa nateseka jamaa
Nitumie kila siku?Kijiko kimoja cha karafuu ya unga kwenye gras ya maziwa ni tiba ya magonjwa haya waweza ongeza na turmeric kidogo kwa tiba bora zaidi.
[emoji818]Tiba ya uzazi (ugumba)
[emoji818]Tiba ya homon kuto kuwa sawa
[emoji818]Tiba ya moyo
[emoji818]Tiba ya tumbo
[emoji818]Tiba ya ini
[emoji818]Tiba ya mapafu
[emoji818]Tiba ya pumu
[emoji818]Tiba ya mafua
[emoji818]Tiba ya kikohozi sugu
[emoji818]Tiba ya pua zilizo ziba
[emoji818]Tiba y kukosa kumbukumbu na kuto kuelewa
[emoji818]Tiba ya ges tumbon na utumbo
[emoji818]Tiba ya udhaifu wa misir
[emoji818]Tiba ya upongufu wa.madini
[emoji818]Tiba ya kibofu cha mkojo na mkojo kutoka bila ya hiyar
[emoji818]Tiba ya meno na fidhi (pia ni kinga)
[emoji818]Tiba ya macho (maono hafifu)
[emoji818]Tiba ya chunus
[emoji818]Tiba ya uvimbe wa ngozi na kumwa na mdudu
[emoji818]Tiba ya kudhibiti kiwango cha sukar ya damu na kudumisha viwango vyake
[emoji818]Tiba ya kuongeza ute kwenye maungio ya mifupa
[emoji818]kinga dhidi ya saratan
[emoji818]Tba ya baridi bronchitis Koo iliyo na dawa ya kulevya na tonsillitis
[emoji818]Tiba ya hemorrhoids na analitis
Sio mbaya ikiwa ndiyo chai yakoNitumie kila siku?
Kaka crocodiletooth swali hili naombeniNdugu zangu nnashida imeanza juzi tu ila adi Leo ni siku ya 4 napata maumivu makali kwenye njia ya mkojo naumia sana sijui namaliza vipi tatizo hili naombeni msaada kwa anayejua dawa ya tatizo hili.
Aha asante sana brotherChoma pilipili wataondoka watake wasitake
Kunywa Azuma double dose.Kaka crocodiletooth swali hili naombeni
Kaka crocodiletooth nashukuru sana mkuu nmekuelewa asante sana mkuuKunywa Azuma double dose.
Lipo ila mapito yake utayaweza?Mkuu unapatikana wapi?
nahitaji kumiliki jini la Utambuzi
Ngoja nipekuwe vitabu vya kimisri ndiyo wana dawa za ainahiyoHivi kuna Dawa ya kuondoa kipara kichwani..?
Hii inaweza kuzuia vipele ndevu kwenye uvungu wa kidevu?NI maziwa fresh mkuu, utachemsha na maganda yake lakini wakati wa kula utayamenyea mezani ndio ulikuwa utaratibu wa babu zetu. In fact duniani kote kuna Vita ya kuupinga uzee au tuseme binadamu anapigana ili kuaona aweze kuishi zaidi lakini katika afya yake nzuri huku mwili ukijirepea kwa kutumia vyakula vyetu vya kienyeji, karafuu imeonyesha uwezo mkubwa wa kushindana na hali hii kwa mfano Unga wa karafuu utakapouchanganya na mafuta asili ya nazi ukatumia kujipaka utashuhudia shikamoo zikipungua, handiness ya kidevu sugu kwa kunyoa ndevu itaondoka infact utastaajabu sana let practise in it.
Ndio binafsi vimeondoka pia ile ngozi kukomaa na kuwa ngumu pia kumeondokaHii inaweza kuzuia vipele ndevu kwenye uvungu wa kidevu?
Naweka kambi hapa MkuuNgoja nipekuwe vitabu vya kimisri ndiyo wana dawa za ainahiyo
Vinanisumbua sana wacha nitafute hiyo unga si madukani upo.Ndio binafsi vimeondoka pia ile ngozi kukomaa na kuwa ngumu pia kumeondoka
Nakusoma vema ndugu, ikipendeza na hivo vitabu tuvipateNgoja nipekuwe vitabu vya kimisri ndiyo wana dawa za ainahiyo
Nunua karafuu uigrind iwe powder mkuuVinanisumbua sana wacha nitafute hiyo unga si madukani upo.
Mkuu nini dawa ya mtu anayesumbuliwa na maumivu ya mgongo na mifupa mara kwa mara? (Aliwahi pata ajali)Nunua karafuu uigrind iwe powder mkuu
Maziwa ya ngamia atumie sana, pia awe anatumia sana juice ya carrots na tangawizi kidogo sana, Atapata nafuu kubwa.Mkuu nini dawa ya mtu anayesumbuliwa na maumivu ya mgongo na mifupa mara kwa mara? (Aliwahi pata ajali)