Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Mibono ni miti fulani ivi inakua inatoa vitunda lakini haviliwi sana hutumia waislamu Kuwekea kwenye makaburi pindi wakizikana. Ukigoogle tu utaiona mkuu
 
Anaejua dawa ya biashara hasa kuvuta wateja dukani ashee nasi au aje pm.
Nipo tayari kuchangia kiasi kidogo kulipa wema wako utakaokuwa umenifanyia. Kikubwa iwe dawa ya uhakika.

Au kama wewe ni mfanyabiashara wa duka na unajua mambo fulani fulani ya kuvuta wateja naomba uje pm tubadirishane maarifa. Naweza kukupa kitu amazing sana
 
Mmea gan?? Huu nmeambiwa unatibu magonjwa mfumo wa mikojo mwenye ujuz.....atupe shule
 
Uelekezweje bila kufika kwa mtaalam husika? uko mkoa gani?
 
Picha namba 1,515 hapo juu ni mmea wenye dawa safi sana ya kisukari. Tengeneza chai yake anywe asubuhi na jioni hata Kwa wiki moja
Mi naomba nitumie hiyo picha ya huo mme, nimejaruibu kutafuta sijauona kwa picha.
 
Akiua itakuwaje ?
 
Wataalamu ninaomba formula au dawa ya mtu kuacha pombe .Nia yangu nikijua niitengeneze niwasaidie vijana wanaoumiza sana familia zao kwa ulevi.naambiwa ipo mitishamba ambayo mtu anaacha kabisa pombe.Tatizo hawa vijana ni hohe hahe hawana hela za kuona waganga wakubwa wapone .
 
Kuna watu mbinguni ni kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…