Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Mi naombeni tiba ya kusinyaa kwa uume, imenitesa sana hii hali kwa zaidi ya miaka 14 kkwa sasa.Uume umekuwa mdogo sana na hata nikitomb$# simalizi round ya pili inazima ghafla, na hapo siwezi tena kuanza round nyingine.
Kingine sijawahi kupiga nyeto na sijui hiyo kitu, nashindwa hata kuoa, nina umri wa miaka 35.

mkuu hujapata suluhu ya tatizo lako?
 
hii ni dawa ya kuongeza damu.mwilini
nzuri sana kwa wamama wajawazito na wengine waliopungukiwa damu kwa mwili

chemsha maua hayo kiasi hivi weka maji vikombe vitatu..

kunywa kwa wiki 2 mfululizo kisha kapime tena wingi wa damu.

addition:
kama haya maua ni vigumu kupata, tumia tembele na mchicha.
chemsha tembele kivyake na mchicha kivyake, kisha chuja maji (kabla hujaziunga) kisha kunywa
usiweke chumvi
View attachment 2382763

mkuu kwa mimi mwenye tatizo la mzunguko mbovu wa damu pamoja na damu kuwa nzito sana, je inaweza nisaidia?
 
Habari wakuu.

Ninatafuta dawa moja inaitwa lisubata mizizi yake.

Nasikia inaota sana kanda ya ziwa mikoa ya Mwanza, shinyanga na Geitwa msenye Access ya kuipata tafadhali ani pm ama anisaidie hapa kwa faida ya wengi.

Natanguliza shukrani nyingi sana.
Ni Lisubata au Misubata!? Kama ni misubata inapatikana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu alitoa matumizi ya unga wa msamitu. Kwa anayekumbuka au mwemyewe muhusika kama yupo akumbushe tafadhali.

Ahsante
 
Ishu ya masikio dawa
Bangi mbichi/ majani yake twanga upate maji dondoshea kitone Kila skio.
2. Chukua mafuta ya kuku wa kienyeji dondoshea tone Kila skio hrf twanga/ ponda majani ya mti wa mbaazi upate maji yake dondoshea pia tone moja kwenye masikio yote itapendeza wkt wakulala hata liwe Linatoa usaha! Dawa!
Na tatizo la sikio kitaalam linaitwa Titanus yaani unakuwa unasikia kelele tu masikioni au ukipita kwenye makelele unakuwa unasikia kero tu na hii dawa ya majani ya bangi inafaa?
 
Na tatizo la sikio kitaalam linaitwa Titanus yaani unakuwa unasikia kelele tu masikioni au ukipita kwenye makelele unakuwa unasikia kero tu na hii dawa ya majani ya bangi inafaa?
Polé mkuu hili tumia mafuta ya kitunguu saum kila ukitaka kulala usku unaweka tone 3 ndani ya siku 4 tu umepona
 
No wonder this grass went viral all over the social media. With its endless health benefits, it is truly God’s gift to mankind. We can find this weed almost everywhere throughout the Philippines and mostly in warm countries.

This grass is widely spread along river banks, settled areas and even along roads! And because of our ignorance about the abundance of its uses, it is normally ignored by many.

Many people have testified about how amazing and effective this grass is in treating common and severe illnesses. Now, we present to you the reasons behind the buzz.

What are the Health Benefits of Paragis?
# Paragis is widely used in Africa as an alternative medicine to different kinds of illnesses.
Aeta people from Porac, Pampanga used burnt dried leaves of Paragis as a repellent against insects.

Leaves of Paragis contain silicon monoxide, calcium oxide, and chlorine.

Dried leaves contain protein.

Many declared it to be anti-inflammatory, a natural antihistamine, a natural diuretic, antidiabetic, an effective anti-oxidant and has cytotoxic properties.

Parts of Paragis that Can Be Used as a Herbal Medicine Leaves

Drinking boiled leaves of Paragis or making a Paragis Tea will ease several pains and illnesses. You can also patch the minced or pulverized leaves on some conditions.

Stems
Boil the stem with leaves to achieve more effective results

Roots
Drinking boiled roots can also cure several illnesses.
Health Conditions That Can Be Cured by Paragis

# Cancer
Because of this plant’s antioxidant properties, this can lower the risk of growing cancer cell in your body.

# Ovarian Cyst and Myoma
Patients with ovarian cyst conditions have proven that drinking Paragis tea in a daily basis has made the cyst completely disappear.

# Kidney Problems
Paragis is a natural diuretic which increases the amount of water in our body and expells salt as urine.

# Arthritis
Heat pounded leaves mixed with scraped coconut. Patch and bandage on the affected area.

# Diabetes
Drink Paragis tea regularly and say goodbye to diabetes.

# Wounds
Apply decoction to wound to stop the bleeding.

# Parasitism
Paragis is a strong laxative that can flush out worms and parasites from your stomach.

# Urinary Tract Infection
You may stop taking antibiotics and start drinking boiled leaves to immediately cure UTI

# Hypertension
Lower the risk of high blood pressure by drinking boiled leaves and stems of Paragis.

# Fever
You won’t be needing any medication to reduce your temperature. Just drink boiled roots of Paragis for faster and more effective results.

# Sprain (Pilay)
To have an instant relief from a sprain, patch some minced leaves on the affected area.

# Dandruff
Reduce the appearance of dandruff. Mix minced leaves and stems with coconut oil. Use it as a shampoo and gently massage it on your scalp. It can also stop hair fall and help your hair grow back to its original thickness.

# Dysentery
This is a type of gastroenteritis that results in diarrhea with blood. Drink boiled roots of Paragis to ease this alarming condition.

#Other Illnesses that Can Be Cured By Paragis:
  • Asthma
  • Hemoptysis
  • Bladder Disorders
  • Liver Problems
  • Jaundice
  • Malaria
  • Infertility in Women
  • Epilepsy
N. B, Tutupie tiba tunazozifahamu za kiasili kwa mimea inayotuzunguka,
KARIBUNI TUSAIDIANE.



Haya ni majani yaliyotuzunguka majumbani mwetu ndiyo yanayoitwa # Paragis grass as mentioned in thread aboveView attachment 2264759
Mbigili ni dawa ya vidonda vya tumbo
 
Polé mkuu hili tumia mafuta ya kitunguu saum kila ukitaka kulala usku unaweka tone 3 ndani ya siku 4 tu umepona
Yaani ni mfumo wa Nerve umekuwa blocked na tatizo lilisababishwa na kuchomwa sindano za quinine hii itasaidia?
 
Ndani ya sekunde 60 nitakuonesha namna gani nilivyoweza kutibu mfumo wangu wa uzazi (Nguvu za kiume na stamina) kwa kutumia virutubisho salama ndani ya wiki moja tu

Bonyeza hii link hapa kupata maelezo yote

[emoji117] https://t.co/3ar4hs5YzA

PS: Hii link haitakuepo baada ya masaa 24
 
Ndani ya sekunde 60 nitakuonesha namna gani nilivyoweza kutibu mfumo wangu wa uzazi (Nguvu za kiume na stamina) kwa kutumia virutubisho salama ndani ya wiki moja tu

Bonyeza hii link hapa kupata maelezo yote

[emoji117] https://t.co/3ar4
Ndani ya sekunde 60 nitakuonesha namna gani nilivyoweza kutibu mfumo wangu wa uzazi (Nguvu za kiume na stamina) kwa kutumia virutubisho salama ndani ya wiki moja tu

Bonyeza hii link hapa kupata maelezo yote

[emoji117] https://t.co/3ar4hs5YzA

PS: Hii link haitakuepo baada ya masaa 24

hs5YzA

PS: Hii link haitakuepo baada ya masaa 24
utapeli kama utapeli mwingine
 
Ndugu zangu mwenye shida aseme apa tuendelee kuwapa dawa,naona mme poa (kimyaaa) au mmeshapona wote🤷🏽‍♂️
 
Back
Top Bottom