Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

KUFUNGUA KILA KITU.
Kuna watu katika mambo yao yamefungika Kila
jambo wanalofanya matokeo yake ni kumaliza mu-
da na kuingia Katika hasara na majonzi.
Ukitaka kufungua mambo yako na ufanye kazi zako
kwa uwezo wake mwenyezi mungu Kila kitu kiende
sawa.
Soma surat Fatha mara Saba kabla ya Kulala
ukiamka soma majina haya mara kumi يا فتاح يا رزاق
Unapokuwa unalala sharti lala ukiwa na udhu wako
usiongee na mtu mpaka asubuhi ni funguo ya aja-
bu.
unaweza kuomba kujifugua
maradhi,kipata,ndoto,ndoa,baraka na nk mujarra-
bu sana.
Miongoni mwa njia nzuri na nyepesi ya kufungua
mambo hii mujarra bu sana.
Utaenda kuchukua mti huu kuanzia mzizi na majani
yake chemsha Kwa pamoja.
Mpe mgonjwa wako atapona haraka Sana Kwa
uwezo wake mwenyezi mungu.
Utakuwa una kunywa mara tatu Kwa siku Saba .
Dawa hii inaweza mpa mgonjwa ana harisha
(kuendesha)damu kabisa.
Mpe mtu aliye kula chakula kimezidi kiwango tum-
bo Lina muuma akinywa dawa hii baada ya masaa
machache kabisa atakuwa yupo vizuri Kwa uwezo
wake mwenyezi mungu.
KUJIFUNGUA KWA HARAKA.
Mwanamke mwenye ujauzito amepitiliza miezi
yake kujifungua mpe kivumbasi utajifunguaharaka .
Nenda kango`e mti huu wote kuanzia majani na
mizizi yake ukiludi nyumbani kwako.
Utachemsha Kwa pamoja uje mpe mgonjwa wako

By magical power
Unaitwaje huo mti??
 
Ndio nilienda doctor alinipima akaniambia sina tatizo kwenye macho
Pole sana ilo ni tatizo linalo usiana na upande wa pili,tumia shabu kunawia Kama Bado Kuna kombe lake unitafute nikupe bas mambo yatakua sawa🙏🏽
 
BANGI NA MAAJABU YAKE KWENYE MAPENZI !!!

Kaz kwako tafuta bangi kavu na asali.mbichi..chukua.bangi kidogo wk ktk kiganja cha mkono wa kulia Kisha anza kupikicha na kupikicha utumie kidole cha kat..ukimaliza tia vimaj kidogo Kisha chuja uchanganye na asal mbichi kisha chovya kutumia kidole cha kat kupaka ktk k/uume uku ukinuia nataka niwazidi wanawake/wanaume wote kama hiki kidole kilivyo zd vidole vyote kama hi asal ilivy tamu bs namm niwe mtamu.kwako kama mvutaj bangi asipo pata bangi anahangaika na kuteseka bs na ww usipo pata k/uume wangu uhahe kama mvuta bangi...mengine utaongezea mjukulu wangu 👴🏾 ukimaliza..nenda katoe mzigo/show mjukulu wangu 👴🏾

By magical power
IMG-20240918-WA0057(2).jpg
 
Kwa wale wanaume wanazaliwa na sehemu za kiume ambazo ni ndogo kiasi cha kushangaza, na hazikuwi kiasi ni aibu hata kumtongoza mwanamke yupo fundi anayemudu kazi hiyo wa uhakika kwa siku 14 tu, anagharama kidogo 250,000/-lakini ataondoa fedheha yako yote kwa 100%,kwa maelekezo inbox nikuelekeze ukamwone!
Hii shida ata Mimi dawa nipo nazo Tena za uwakika atakae hitaji anyone🙏🏽
 
Wakuu naomba mwenye kujua dawa ya kuondoa uvimbe nyuma ya kichwa

Miaka kama minne nyuma nilienda pale legency hospital wakanitolea huo uvimbe na wakasema hautarus tena lkn cha ajabu umerud na hapa nimeona bora nitafute dawa mbadala ambayo itaondoa huo uvimbe nyuma ya kichwa

Ni uchafu fulan kama vimafuta huwa vinajikusanya nyuma ya kichwa na ukikipasua vinatoa harufu kali sn

Naomba mwenye kujua tusaidie mana muhim sn
Hii tatizo lako limekata kitaalam zaidi,ninazo dawa za tatizo lako hili
 
Dawa ya vidonda vya tumbo ya Asili IPO .

Kutokushika mimba pia IPO

Hizi dawa zina ufanisi 70-80% hivyo tuwasiliane .
 
NAMNA YA KUJUA MKE/MUME/MPENZI KAMA NI MCHAWI.

Kulingana na maombi yenu niwaletee mada kama hii, ni hivi.... Kama nilivyosema kwenye mada iliyopita kwamba wachawi wana madaraja yao ya uchawi:-

Wapo wachawi wa kiwango cha chini, kati na juu. Sasa leo sifafanui madaraja haya bali nitakufundisha jinsi ya kumjua mke wako, mume wako au mpenzi wako kama ni mchawi.

Wengi wameangukia katika majanga kwa sababu sana sana hatufanyi uchunguzi wa kina kuhusu uchawi tunapofanya uamuzi wa kuoa au kuolewa au kuwa kimahusiano na mtu. Mwanaume mmoja amenipigia simu kutoka Kenya analia machozi,akasema ameteseka kwa miaka 28 ya ndoa kwa ajili ya uchawi wa mkewe. Kwa sasa yupo huru. Na huyo mkewe mchawi ameamua kufunga virago vyake na kuondoka baada ya kuumbuka adharani.

Kabla sijakupa mbinu na njia za kumgundua mwenzako kama ni mchawi nataka kwanza nikwambie SIFA KUU za mtu mchawi. Nataja hizi baadhi kama ifuatavyo:-

> Hupenda sana kuvaa nguo za ndani (chupi) rangi nyekundu na nyeusi
> Huwa hawakubali kulala upande wa ukutani hata siku moja
> Mkiwa faragha unamshughulikia (kufanya mapenzi) ni lazima awe anauma meno kuanzia mwanzo wa tendo hadi mwisho. Ni lazima afanye hivyo kwa sababu ni sharti la kichawi na sio hiari yake wala amri yake.
> Huwa lazima awe na chale mbili chini ya uke sehemu iliyo kati ya uke na tundu la haja kubwa (mkundu). Chale hizi ni lazima kwa mwanamke yeyote ambaye ni mchawi, chunguza utaona.
> Huwa hawaruhusiwi kunyoa nywele zote za kwenye uke wao. Ni lazima waache vinywele hata kidogo kwenye kinena na wakikiuka hilo hupata shida na mateso makubwa.

Hizo ni baadhi ya dalili za mchawi unazoweza ona. Mwingine anaweza kujiuliza kwanini kama naongelea sana upande wa wanawake? Ukweli ni kwamba asilimia 90 ya wachawi ni wanawake.

Sasa twende kwenye mada yenyewe. Umekwisha ona dalili zote hizo sasa ufanye nini ili kujiridhisha 100% kuwa sasa mwenzako ni mchawi?

Jaribu kufanya haya yafuatayo kama kipimo cha awali na nina kuhakikishia utapata majibu papo hapo na ukumbuke kupost hapa kilichotokea.

1. Mvizie akiwa usingizini amelala, mpake majivu uliyochanganya na magadi sehemu ya chini ya uke iliyo kati ya uke na tundu la haja kubwa, yaani pale penye chale. Sugua na majivu hayo mara tatu (3). Kitakachotokea utajua mwenyewe umeoa mke wa namna gani.
2. Kama utafanikiwa kuamka mida ya saa nane (8) usiku kipindi yeye amelala au ameenda kuwanga, wewe piga mluzi huku umefumba macho ukiwa umeelekeza kichwa chako juu ya kitanda. Wakati huo hakikisha ni lazima uwe umekaa kitandani. Utaona nini kinatokea
3. Mvizie wakati amelala na mmwagie matone matatu ya maji uliyochanganya na chumvi (ya mawe) utosini mwake. Kitakachotokea tu utajua umeoa au kuolewa na mtu wa namna gani.

Kwa sasa anza na hayo tu na ninaamini utarudi hapa na majibu ya kumshangaza kila mmoja wetu, Huduma kama hii sehemu nyingine wangekutoa hela za kutosha ila kwangu nimekupa bure kabisa.

Kuna watu bado hawataki kuamini, ubishi na ujuaji hautakusaidia kitu. Jaribu kwanza ujionee alafu ndio uje ubishe.
 
huwa wanafanyia sana mila haya uko uchagani, kuna mtu alinambia kama mambo yangu yanagoma nichukuwe jiwe nilinuie kwamba kama mimi ni wa ardhi hii yni ( uchagani bas milango yangu ya mafanikio ifunguke alafu nirushe ktk ayo majani, kiukwel sikufanya ivo niliogopa
Yesu awe nawe
 
MALIKIA SALABILA BINT SHAMHHUURUSH
AZIMA:
اجيبي ايتها الملكة سلسبيل بحق الملك الحاكم عليكم صرفياءيل
وبحق ابيك شمهورش اجيبي بحق من أمره بين الكاف والنون ومن
يقول لشيء كن فيكون وبحق انكانت الا صيحة واحدة فاذاهم
جميع لدينا محضرون احضري ايتها الملكة سلسبيل بشهتوف اهيا
شراهيا ادوناي اصباؤت آل شداي يا هو اهواه بتمغارش ازرش
بشلهلش امليخ اشوه قليونوش جهلهلوم مهلهلوم تيلاهوم يهليوه
يهليوه مهمه ياه اه اه اهياه شاه شاه اجيبي ايتها الملكة واحضري
في حضرتي والا صعقتك باالصافات صفا فالزاجرات زجرا
فالتاليات ذكرا ان الهكم لواحد رب السماوات والأرض وما بينهما
ورب المشارق انا زينا السماء الدنيا بزينة الكواكب وحفظا من كل
شيطان مارد لا يسمعون الي الملا الاعلي ويقذفون من كل جانب
دحورا ولهم عذاب واصب الا من خطف الخطفة فاتبعه شهاب
ثاقب اجيبي بارك ا￾ فيكي واسرعي بالإجابة بالحضور الوحا
العجل الساعة
Dua utaanza usiku wa alhamisi ambao utakuwa
ndio wa kwanza ktk mwezi wowote wa kiarabu. Na
utadumu na kisomo hichi kwa siku 11. Na
utaandika tarasimu kila usiku ktk karatasi ya bluu
na utaichoma karatasi hiyo wakati wa kusoma
Azima usiku.
Na Azima inasomwa × 257 kila baada ya swala na
ila tu baada ya swala ya insha. Baada insha
utasoma mpaka usingizi ukuzidi nguvu. Na ktk
usiku wa siku ya mwisho atakuja Malikia Salsabila
kwa umbo zuri sana. Utasimama baada ya
kumuona kwa heshima. Na utamwambia: Naomba
nikuoe uwe mke wangu na uwe unakidhi haja
zangu.
Atakukubalia na mahali yake ni khulwa ambayo
utakaa ndani ktk siku hiz1o5zote za kumuita na hautatoka nnje kufanya shughuli yoyote ila tu haja
ya lazima. Na utakoga kila siku × 3 muda wowote
utakao jipangia kuoga.
Na bukhuri ni ubani dhukra na hambali. Ziwe za
kutosha ktk siku zote utakapo kuwa ktk Dua yako
hii. Hauta ruhusiwa kwenda kununua bukhuri
baada ya kuisha bukhuri hizo kabla ya kukamilika
siku. Na kama bukhuri zitaisha katika siku kabla ya
kumaliza kisomo chako basi umeharibu Dua yako.
Na yeye ni binti Mfalme Shamhhuurush na ni
Malikia mzuri sana na mwenye nguvu nyingi sana.
Naye anakubali kuolewa Binadamu pamoja na
yeye. Ukiwa una mke unamuita na ukiwa hauna
mke unamuita pia. Na anakuruhusu kuoa
Binadamu.

Nimetoa vya uvunguni iyo sadaka yangu😂😂😂
Kutoka baharini kwenye falme za majini.
By magical power nguli wa majini🙏🏽
 
MAAJABU YA NDOTO UNAZOOTA NA JINSI ULIVYOFUNGWA NYOTA

Ndoto ni udhihirisho wa mtu husika kwamba ameingia katika ulimwengu wa kiroho, Pia ndoto ni udhihirisho wa kwamba mwanadamu anawasiliana na ulimwengu wake wa kiroho na huo ulimwengu ndiyo humuongoza kwa kila kitu katika dunia hii.

Matukio yote unayoyafanya ama yanayokutokea katika ulimwengu huu tuliopo sasa yote yaliwahi kukutokea katika ndoto zako huko nyuma kwamba uliwahi kuyaota katika ndoto kwa njia mbalimbali iwe kwa mafumbo au uwazi lakini yaliwahi kukutokea na ikiwa hukuyaita unafaa kuchunguzwa pengine unavifungo vya kichawi na maagano ndani yako.

Kumbuka ndoto husema nasi na hutuongoza tutokako na tuendako na pia ndoto ni taarifa inayokuarifu juu ya matukio yajayo katika maisha yako na wachawi hapa ndipo huwachezea watu sababu wanajua wakifunga taarifa zako kuingia tu hutaweza kujua mbele kuna nini hivyo hukusahaulisha ndoto ama hukufanya usiote ndoto ama wanakuletea ndoto za kutisha yote ni kukuchanganya.

Ndoto hubeba ujumbe wa matukio yajayo katika maisha yako hivyo unaota ili upate kujua na kujiandaa kwa tukio maalum uliloota, ndani ya ndoto unaweza kuwatambua maadui zako, unaweza kutambua njia za kufanikiwa kwako ama unaweza unaweza kutambua katukio yajayo katika maisha yako hata kama ni ni tukio la miaka mitano ijayo, wakati mwingine ndoto hukujuza juu ya hatari iliyopo ndani yako ama kitu kibaya kinachokufuatilia.

Lakini ndoto inauhusiano mkubwa sana na nyota ndiyo maana mtu anayesahau ndoto ama haoti moja kwa moja ana tatizo la nyota


Zipo namna mbili za kuingia katika ulimwengu wa roho.

Namna hizo ni kwa ndoto na maono. Kwa maana hiyo ndoto na maoni zote ni njia za kuingia katika ulimwengu wa roho. Lakini pia ndoto ni ufunuo wa picha na matukio; ilhali maono pia.


Tofauti yao inakuja kwamba maono humpata mtu akiwa macho kabisa, ubongo wake ukiwa active wakati ndoto inamtokea mtu akiwa katika usingizi mzito sana, mwili umepumzika na ubongo unafanya kazi.

Unaweza kukuta ndoto inaitwa maono ama maono yakaitwa ndoto. Lakini pia haijaathiri maana halisi ya tofauti zao.

Jamii yetu ya wapendwa wengi wamekuwa na maswali kuhusu ndoto. Wengi wanahangaika sana kwenda kwa watumishi mbalimbali kuuliza tafsiri ama maana ya ndoto wanazoota katika nyakati mbalimbali.

Hiyo siyo tabia iliyoanza leo, wala jana; hata enzi za Mfalme Nebukadreza wa Uajemi, alipoota ndoto alimwita Daniel mtumishi wa Mungu akaifunua iliyokuwa siri. Farao alipoota ndoto yake alimtoa gerezani Yusufu ili amsaidie kufasiri na baada ya kufunulia kwa hiyo ndoto akaifanyia kazi.

Ili uweze kufunuliwa ndoto yako uliyoota inakubidi kupitia hatua hizi:-

✍️ Ikumbuke vyema ndoto uliyoota. ( ikiwa hukumbuki ndoto uliyoota ama unazoota moja kwa moja kuna tatizo ndani yako ambalo pengine husababishwa na wachawi wa dunia hii hasa wanapofunga njia zako)

🍁 Itambue kama ni ndoto ya kimwili au ya kiroho. ( Mara nyingi ikiwa huitambui ndoto yako moja kwa moja kuna shaka katika nyota yako hasa ikiwa imefungwa ndipo mtu hatambui ndoto yake )

✍️ Kama ni ndoto ya kiroho; Ibainishe kuwa ni ya MUNGU au ya Shetani. Kama ya MUNGU kuna namna ya kuifanyia kazi; kama ya Shetani na wachawi kuna namna ya kupambana nayo.

Kuna aina nyingi za ndoto na mfano ni kama hizi;

WANYAMA:
Kuota unakimbizwa na wanyama wakali inaashiria mashambulizi ya kipepo,yaaani nguvu za giza zimejizatiti dhidi ya maish yako.

DAMU:
Kuota/kuona damu kunaonesha kuna hatari mbele.Inaashiria kifo na ajali.Kwa mama mjamzito huashiria kuharibu mimba.

NYUKI:
Kujiona au kumuona mtu amezingirwa na nyuki ni ishara ya shambulizi la kiroho na kutofanikiwa kimaisha.

KUOGA:
Inaonesha/inaashiria utakaso wa rohoni(utakatifu).

PAKA:
Kuota paka ndotoni huashiria kuwa wachawi wanafuatilia maisha yako.

NDUGU ALIYEKUFA:
Kuota ndoto ya ndugu aliyekufa inaashiria uwepo wa mzimu wa familia. Uwe mwangalifu na ujumbe unaoweza kuonekana kama unapata taarifa muhimu lakini mungu hatumii njia za kipepo kusema na watoto wake

Hizo ni baadhi ya ndoto na maana yake.
Ikiwa mtu haoti ndoto ama hakumbuki ndoto alizoota ni ishara ya mtu aliyefungwa kiroho ama yule aotaye kila siku ndoto za kutisha ni ishara ya kwamba ndani yake ana majini.


Kuna ndoto nyingine huwa zinajirudia mara kwa mara, unajua kwa nini?

Tunapojikuta tuna ndoto zinazijirudia mara kwa mara, inaweza kuonyesha ujumbe muhimu ambao tunahitaji kuelewa.

Ndoto za mara kwa mara zinaweza kuonyesha matatizo yaliyotokea zamani na bado yapo au yana athari katika maisha yetu.

Kama ndoto ya kuota upo shule hii inaashiria matatizo yaliyopo ndani yako na hayajatatuliwa kabisa🏹

Ndoto zinazojirudia zinaweza kuwa ukumbusho wa matatizo ya zamani tuliyokumbana nayo ambayo hatukuweza kukabiliana nayo vizuri.

Matatizo haya yanaweza kuwa misiba ya kibinafsi, matatizo ya familia, au hata kutendwa vibaya.

Ndoto hiyo inaweza kuwa onyo kwetu kwamba tunapaswa kukabiliana na matatizo haya na kutafuta njia za kupona kutoka kwao.

Ndoto za mara kwa mara zinaweza kuwa matokeo ya wasiwasi wa mara kwa mara na mkazo wa kisaikolojia tunayohisi katika maisha yetu ya kila siku.

Wasiwasi huu unaweza kujidhihirisha katika picha kama vile ndoto zinazojirudia au alama za kutisha.

Lazima tutafute njia za kuondokana na wasiwasi huu na kufikia faraja ya kisaikolojia.

Unaweza pia kupata utajiri kwa kutumia tafsiri ya ndoto ila tu ukifanya vitu fulani fulani kwa masharti

Unapoota ndoto ya kuua nyoka, hii inaashiria uwezo wako wa kuwaondoa maadui zako na kufikia malengo na malengo yote unayotafuta.

Ikiwa msichana ameota nyoka akimng'ata mikononi mwake, basi hii ni ishara ya dhambi nyingi na maafa ambayo anafanya.

Mara nyingi wasioota ndoto ama wanasahau ndoto ni watu ambao hata katika nyota zao hazipo sawa yaani ni chafu ama zimevamiwa na mizimu.

Usilolijua, ni kwamba Ufalme wa nuru na wa Giza, falme hizi zinaweza kuleta na kufuta ndoto nafsini mwako Kwa sababu mbalimbali.
Na ndoto si igizo au simulizi, ni tukio halisi nafsini / Roho yako inaona katika Ulimwengu wa Roho.

Mfalme Nebukadreza aliota ndoto na akaisahau, alipoisahau ndoto akatoa amri Waganga na waisrael wenye busara na hekima wauwawe ikiwa watashinda kumwambia aliota nini usiku na tafsiri ya ndoto ni nini.

Ndoto ilikuwa hivi, Mfalme Nebukadreza aliona sanamu kubwa mno ya kutisha,

1. KICHWA Cha sanamu hiyo kilikuwa DHAHABU safi.

2. Kifua na mikono ni FEDHA.

3. Tumbo na viuno ni vya SHABA .

4. Miguu yake ni NUSU CHUMA NUSU UDONGO

Daniel akampa tafsiri ya sanamu hiyo kuwa Dhahabu ndiyo ufalme wa Nebukadreza, ufalme wake ukiweza kutawala Dunia nzima na yote ilimtii na kushikamana.

Mfalme baada ya Kupata tafsiri ya ndoto na kujua kuwa ufalme wake ni Dhahabu, yaani Imara, kesho yake akaagiza ichongwe sanamu ya dhahabu tupu, na kuiweka na kuamrisha watu wote wakusanyike kuiabudu. Nadhani Hadi hapo, utakuwa umejua Nia ya ndoto Ile kufutwa, na nani Hasa aliifuta na ni Kwa sababu Gani.
By magical power
 
Back
Top Bottom