Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Umeenda hospital 🤷🏽♂️Habari wanajukwaa ninatatizo LA macho yanauma kwenye mwanga mkali au jua Kali msaada wenu naweza kutumia dawa gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeenda hospital 🤷🏽♂️Habari wanajukwaa ninatatizo LA macho yanauma kwenye mwanga mkali au jua Kali msaada wenu naweza kutumia dawa gani
Ndio nilienda doctor alinipima akaniambia sina tatizo kwenye machoUmeenda hospital [emoji2375]
Unaitwaje huo mti??KUFUNGUA KILA KITU.
Kuna watu katika mambo yao yamefungika Kila
jambo wanalofanya matokeo yake ni kumaliza mu-
da na kuingia Katika hasara na majonzi.
Ukitaka kufungua mambo yako na ufanye kazi zako
kwa uwezo wake mwenyezi mungu Kila kitu kiende
sawa.
Soma surat Fatha mara Saba kabla ya Kulala
ukiamka soma majina haya mara kumi يا فتاح يا رزاق
Unapokuwa unalala sharti lala ukiwa na udhu wako
usiongee na mtu mpaka asubuhi ni funguo ya aja-
bu.
unaweza kuomba kujifugua
maradhi,kipata,ndoto,ndoa,baraka na nk mujarra-
bu sana.
Miongoni mwa njia nzuri na nyepesi ya kufungua
mambo hii mujarra bu sana.
Utaenda kuchukua mti huu kuanzia mzizi na majani
yake chemsha Kwa pamoja.
Mpe mgonjwa wako atapona haraka Sana Kwa
uwezo wake mwenyezi mungu.
Utakuwa una kunywa mara tatu Kwa siku Saba .
Dawa hii inaweza mpa mgonjwa ana harisha
(kuendesha)damu kabisa.
Mpe mtu aliye kula chakula kimezidi kiwango tum-
bo Lina muuma akinywa dawa hii baada ya masaa
machache kabisa atakuwa yupo vizuri Kwa uwezo
wake mwenyezi mungu.
KUJIFUNGUA KWA HARAKA.
Mwanamke mwenye ujauzito amepitiliza miezi
yake kujifungua mpe kivumbasi utajifunguaharaka .
Nenda kango`e mti huu wote kuanzia majani na
mizizi yake ukiludi nyumbani kwako.
Utachemsha Kwa pamoja uje mpe mgonjwa wako
By magical power
Mbona nimeutaja apo🤷🏽♂️Unaitwaje huo mti??
Pole sana ilo ni tatizo linalo usiana na upande wa pili,tumia shabu kunawia Kama Bado Kuna kombe lake unitafute nikupe bas mambo yatakua sawa🙏🏽Ndio nilienda doctor alinipima akaniambia sina tatizo kwenye macho
Asante Magical power hio shabu naipata wapiPole sana ilo ni tatizo linalo usiana na upande wa pili,tumia shabu kunawia Kama Bado Kuna kombe lake unitafute nikupe bas mambo yatakua sawa[emoji1431]
Maduka ya asili,ila kua makin usipate fake🙏🏽Asante Magical power hio shabu naipata wapi
Sawa asanteMaduka ya asili,ila kua makin usipate fake[emoji1431]
🙏🏽Sawa asante
Hii shida ata Mimi dawa nipo nazo Tena za uwakika atakae hitaji anyone🙏🏽Kwa wale wanaume wanazaliwa na sehemu za kiume ambazo ni ndogo kiasi cha kushangaza, na hazikuwi kiasi ni aibu hata kumtongoza mwanamke yupo fundi anayemudu kazi hiyo wa uhakika kwa siku 14 tu, anagharama kidogo 250,000/-lakini ataondoa fedheha yako yote kwa 100%,kwa maelekezo inbox nikuelekeze ukamwone!
Hii tatizo lako limekata kitaalam zaidi,ninazo dawa za tatizo lako hiliWakuu naomba mwenye kujua dawa ya kuondoa uvimbe nyuma ya kichwa
Miaka kama minne nyuma nilienda pale legency hospital wakanitolea huo uvimbe na wakasema hautarus tena lkn cha ajabu umerud na hapa nimeona bora nitafute dawa mbadala ambayo itaondoa huo uvimbe nyuma ya kichwa
Ni uchafu fulan kama vimafuta huwa vinajikusanya nyuma ya kichwa na ukikipasua vinatoa harufu kali sn
Naomba mwenye kujua tusaidie mana muhim sn
Nitashukur kama ukinipa ufumbuz kakaHii tatizo lako limekata kitaalam zaidi,ninazo dawa za tatizo lako hili
Kalibu sana nitakusaidia 🙏🏽Nitashukur kama ukinipa ufumbuz kaka
> Hupenda sana kuvaa nguo za ndani (chupi) rangi nyekundu na nyeusi
> Huwa hawakubali kulala upande wa ukutani hata siku moja
> Mkiwa faragha unamshughulikia (kufanya mapenzi) ni lazima awe anauma meno kuanzia mwanzo wa tendo hadi mwisho. Ni lazima afanye hivyo kwa sababu ni sharti la kichawi na sio hiari yake wala amri yake.
> Huwa lazima awe na chale mbili chini ya uke sehemu iliyo kati ya uke na tundu la haja kubwa (mkundu). Chale hizi ni lazima kwa mwanamke yeyote ambaye ni mchawi, chunguza utaona.
> Huwa hawaruhusiwi kunyoa nywele zote za kwenye uke wao. Ni lazima waache vinywele hata kidogo kwenye kinena na wakikiuka hilo hupata shida na mateso makubwa.
Yesu awe nawehuwa wanafanyia sana mila haya uko uchagani, kuna mtu alinambia kama mambo yangu yanagoma nichukuwe jiwe nilinuie kwamba kama mimi ni wa ardhi hii yni ( uchagani bas milango yangu ya mafanikio ifunguke alafu nirushe ktk ayo majani, kiukwel sikufanya ivo niliogopa