Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Biringanya lina Protin, kabohaidret, lina madini ya potassium, kalsiamu, zinc, lina mafuta na nyuzinyuzi fibre...

Unapolitumia unakuwa na uhakika wa kudhibiti kiwango cha sukari na kolestrol katika damu, kuthibiti ongezeko la uzito, afya ya ubongo na afya ya moyo

Wewe unalitumia kwenye mlo gani✍️
1732190022998.jpg
✍️✍️
 
Vivimbe vinatibika kirahisi bila oparesheni, inahitaji tu kujiweka vyema kwenye vyakula na vinywaji ili kuzuia uvimbe kukua na kurekebisha homoni ya oestrogen na progestrone (homoni za uzazi ambazo km hazijabalansi, huweza kusababisha kuongezeka kwa uvimbe/vivimbe)

Hapa chini nimekuwekea ratiba fupi ambayo inakufaa kuzuia au kukukinga dhidi ya vivimbe katika via vya uzazi....

•Asubuhi ukiamka kunywa maji nusu lita, kamulia limao moja au kijiko kimoja cha apple cider vinegar (siki ya tufaha) kama una madonda ya tumbo usitumie vinegar kunywa maji tu

• Chai yako isikose tangawizi, mdalasini, iliki na karafuu

• Mlo wa mchana, usile vyakula vya kukobolewa kama ugali wa sembe na ngano nyeupe, kama ni ugali tumia udaga au dona, ngano tumia ambayo haijakobolewa pia usiwe mtu wa kula wali mweupe (pengine maisha yetu ya kitanzania bila wali hayaendi, ila jitahidi kula kiasi kidogo, zaidi kula mboga mboga matunda na vyakula vya majini (dagaa, samaki, pweza n.k)

• Mafuta ya kupikia tumia zaidi mafuta ya mimea kama mafuta ya mzeitun, alizeti, karanga n.k usitumie mafuta ya wanyama (mafuta ya kuganda)

• Kwenye mboga au kachumbari weka kitunguu maji kwa wingi kwani kinasaidia sana kuyeyusha vivimbe mwilini

• Usiku kabla ya mlo kunywa tena chai ya mdalasini, tangawizi, iliki na karafuu, utafuatisha dinner yako na muda wa kulala utamalizia na glass ya maji ya siki ya tufaha au glass ya maji yenye limao kama tulivyoelekezana mwanzo unapoamka....

Kama vivimbe ni vingi au ni uvimbe ni mkubwa wa kuzidi sentimita 4, Unaweza Kuandaa Dawa Hii Ukiwa Nyumbani kwako inasaidia pia

HATUA YA KWANZA

• Chukua unga wa halilinji vijiko 6, changanya na Unga wa Habat thufaa vijiko sita
Mchanganyiko huu uweke kwenye bakuli kisha chukua asali mbichi lita moja umimine kwenye bakuli hilo na ukoroge (ingredients hizi zipo maduka ya tiba lishe)

HATUA YA PILI.

• Chukua tikiti kisha lioshe, kata na uondoe upande ule mwekundu ubakize MAGANDA YAKE ndo tunahitaji tu hayo mengi wape watoto wale.

~Maganda ya tikiti yasage kwenye blenda kisha utaweka lita moja ya maji kupata juisi yake.

~Juisi ya Maganda ya tikiti ikishakuwa tayari itoe na uchanganye na mchanganyiko wako wa asali, halilinji na habat thufaa. Koroga mpaka ikolee

~Chukua juisi yako uweke kwenye kidumu au kifaa safi ..........ni vizuri kuitunza kwenye friji ili isiharibike.

MATUMIZI: Utakuwa ukitumia nusu glass mara tatu kwa siku mpaka iishe.
Ukimaliza nenda ukapime ukubwa wa uvimbe wako kama haujaisha basi utakuwa umepungua kwa kasi sana kiasi ukiandaa nyingine unaisha....
Viambata hivi kama vinegar, halilinji, habat thufaa n.k unavipata katika maduka ya tiba asili au maduka ya kisunni.

MAZINGATIO:
Ni muhimu kuachana matumizi ya vidonge kama njia ya uzazi wa mpango, achana na vyakula vyenye kutiwa sukari nyingi kama keki, pipi, ice cream, soda, biscuit n.k hivi huchangia zaidi mvurugiko wa homoni hivyo uvimbe uendelea kukua zaidi.

•Achana na matumizi ya vyakula vya kukobolewa sana mfano sembe, ngano nyeupe na vilevile yaepuke matumizi ya vyakula vyenye kutiwa mafuta mengi

Ukizingatia hayo, nina uhakika ndani ya mwezi mmoja ni lazima uniletee majibu yaliyo mazuri...

Kama kupata malighafi inakuwa ngumu au hauna muda wa kuandaa dawa, agiza dawa asili ya MIXED HERBS POWDER

Ni dawa lishe ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi ambayo

✓ Itakusaidia kusafisha via vya uzazi yaani inasafisha mirija ya uzazi na fuko la uzazi ili kuondoa majimaji au uchafu na fangasi

✓ Itakuondolea makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars and ovarian cyst)

✓ Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii itakusaidia pia kuondoa changamoto ya mvurugiko wa hedhi kama unapata tatizo la kukosa hisia, kuwa mkavu ukeni wakati wa tendo, period kupishana, damu ya hedhi kuwa na utelezi, mayai kutokupevuka n.k....
 
Habar wapendwa napenda kurudia tena somo la mgagani
Mgagani una matumizi mengi wengi wao waujua km mboga ila pia ni dawa na inatib vitu vifuatavyo
1 inatibu bawasiri (kinyama kinacho ota sehemu ya haja kinda)
Matumizi chukua majani ya mgagani kisha yabrend tia kitu chochote kuondioa harufu kisha kunywa pia chukua majani hayo hayo yafikiche suguria sehem yenye ugonjwa endelea na zoezi hili kisha leta majibu ndani ya mwezi mmoja
2 inatisogeza kizaz karb chukua majani yake yatwange yalainike km kisamvu kisha tafuta kitambaa raini au padi kisha vaa kwa mda wa masaa mawili kisha toa nawa endelea na shughuli zako kisha fanya hivo kwa ck saba inshallah mungu atakufanyia wepesi angalizo usikae nao kwa mda zaidi ya huo mda pia unavuta kiasi kwaiyo yakupasa kuvumilia maana ataftae hachoki akichoka amepata (wahanga wa Kutafuta wapiti)
3 dawa ya kichwa kinacho gonga bila kuacha
Chukua majani yake kisha fikicha pata majimaji kisha kamulia puani kichwa kitaacha kuuma
4 mzizi wake hualakisha kufanya ujifungue haraka kwa wale wanao umwa uchungu kwa mda mrefu
Ww mama kijacho uonapo uchungu umeanza ule mkali chukua mzizi wake anza kutafuna huo mzizi na umeze yale maji mtoto hatochelewa jugular
Angalizo kwa hilo hakikisha umesikia uchungu ule mkali kabisa na uwe umefika hospital ndo utafune usifanye ivo ukiwa nyumban au njiani
5 kubana uke ulio legea au misuli ilio legea pia kuongeza joto matumizi ya hapa ni km yale ya namba Mbili
Na mwisho inatibu fangusi na kukausha majimaji yanayo toa harufu Kari yatokato kwenye K na ni fungus za ukeni mdogo ninazo ongelea nayo matumizi ni km nilio elezea namba mbili angalizo unavaa km unavyo vaa ped sio kuweka ndani na sijawambia mchanganye na asari nimesema ni mgagani tu
Asanten
Km post haikuusu plz pita kushoto
Mambo ni 🔥 🔥 🔥
By magical power
1732960905244.jpg
 
Habar wapendwa napenda kurudia tena somo la mgagani
Mgagani una matumizi mengi wengi wao waujua km mboga ila pia ni dawa na inatib vitu vifuatavyo
1 inatibu bawasiri (kinyama kinacho ota sehemu ya haja kinda)
Matumizi chukua majani ya mgagani kisha yabrend tia kitu chochote kuondioa harufu kisha kunywa pia chukua majani hayo hayo yafikiche suguria sehem yenye ugonjwa endelea na zoezi hili kisha leta majibu ndani ya mwezi mmoja
2 inatisogeza kizaz karb chukua majani yake yatwange yalainike km kisamvu kisha tafuta kitambaa raini au padi kisha vaa kwa mda wa masaa mawili kisha toa nawa endelea na shughuli zako kisha fanya hivo kwa ck saba inshallah mungu atakufanyia wepesi angalizo usikae nao kwa mda zaidi ya huo mda pia unavuta kiasi kwaiyo yakupasa kuvumilia maana ataftae hachoki akichoka amepata (wahanga wa Kutafuta wapiti)
3 dawa ya kichwa kinacho gonga bila kuacha
Chukua majani yake kisha fikicha pata majimaji kisha kamulia puani kichwa kitaacha kuuma
4 mzizi wake hualakisha kufanya ujifungue haraka kwa wale wanao umwa uchungu kwa mda mrefu
Ww mama kijacho uonapo uchungu umeanza ule mkali chukua mzizi wake anza kutafuna huo mzizi na umeze yale maji mtoto hatochelewa jugular
Angalizo kwa hilo hakikisha umesikia uchungu ule mkali kabisa na uwe umefika hospital ndo utafune usifanye ivo ukiwa nyumban au njiani
5 kubana uke ulio legea au misuli ilio legea pia kuongeza joto matumizi ya hapa ni km yale ya namba Mbili
Na mwisho inatibu fangusi na kukausha majimaji yanayo toa harufu Kari yatokato kwenye K na ni fungus za ukeni mdogo ninazo ongelea nayo matumizi ni km nilio elezea namba mbili angalizo unavaa km unavyo vaa ped sio kuweka ndani na sijawambia mchanganye na asari nimesema ni mgagani tu
Asanten
Km post haikuusu plz pita kushoto
Mambo ni 🔥 🔥 🔥
By magical power View attachment 3165726
🙏🙏🙏
 
Wao wanasema shida n nn?
walnchunguz lakn nliend hz hosptal za mwanz to ko majb yalikuw y uzoefu wao tu kuw hp natakiw nijiandae wavkate jap c vkubwa ingaw chanz chake ckuelekezwa. ndoman kabla ya kuwaz kfanyiw hy opalatn nkaon njalb tiba asil kam ntaweza kusaidika
 
walnchunguz lakn nliend hz hosptal za mwanz to ko majb yalikuw y uzoefu wao tu kuw hp natakiw nijiandae wavkate jap c vkubwa ingaw chanz chake ckuelekezwa. ndoman kabla ya kuwaz kfanyiw hy opalatn nkaon njalb tiba asil kam ntaweza kusaidika
Sawa,chanzo Cha kupata matatizo ayo n nn Ili tunapo kusaidia tunakua tumepata history ya ugonjwa wako Kisha tuone tuaanzia wap tunaishia wp
 
Sawa,chanzo Cha kupata matatizo ayo n nn Ili tunapo kusaidia tunakua tumepata history ya ugonjwa wako Kisha tuone tuaanzia wap tunaishia wp
chanzo vimeanza vyenyew tu mana c kwamb n maambkiz ya magonjwa ya ngono na hata hospital walchek hayahusian. pia nmeoa cjichangany san
 
NGUVU YA KAFARA YA MNYAMA.

Katika ULIMWENGU wa Kiroho Kuna mambo mengi sana na B
1733948787819.jpg
aadhi ya hayo mambo huenda Kwa namna Moja ama nyingine Umeweza shiriki bila kujua.

Utoaji wa Kafara ya mnyama ni matambiko ambayo yameanza Tokea enzi na Enzi na ndio Maana baadhi ya watu wa kaskazini hufanya hivo ila huishiwa kudhihakiwa ama vipi lakini ukifatilia Kila mwisho wa Mwaka kama sio wote Huwa ni Nusu ya familia wamevuka malengo, sio Nguvu zao tu ni MIZIMU inawasaidia.

Waweza ONA hiki nisemacho ni ujinga ila wewe na dini yako unayoiamini kwanini unatoa swadaka ya fedha JE hujui kuwa hiyo nayo ni Kafara? Ama kwakuwa umekalilishwa kuidharau Asili yako unadhania kwamba hii Kafara ifanywayi na wasioamini Dini za Wazungu kuwa ni dhambi.

Katika ufanyaji wa Kafara ama swadaka ni lazima kuwepo na MAELEKEZO maalumu, lakini pia lazima kuwepo na Dawa maalumu ambayo inatumika kama kichocheo Cha kifikia hitimisho ya lile unalohitaji.

Wengi ya wafanya Kafara siku hizi wanahitaji mafanikio na Mali, na hapa ndipo Wengi hubenwa Nyota zenu bila kujijua, ngoja niwape mfano.

Unaalikwa kwa mzee flan hapo mjini ama kijijini kuwa ana sherehe, unanawishwa mikono ila wanapomwaga Maji hayo unayonawa hupaoni, ama wanamwaga Maji Eneo Moja tu, hata hushtuki, lakini pia mnapomaliza kula Yale mabaki haujui wapi yanapelekwa.

Hapo sasa ndipo mabalaah yanapotendeka, nisifungue mengi ila kama unahitaji kutoa Kafara na kujiweka karibu na MIZIMU ya kwenu Ili iwe chachu ya kukusaidia Njia za mafanikio kifedha nitafute nitakupa msaada pale utakapo itaji.

Huu ni mwisho wa Mwaka hakikisha Unatoa Kafara ya mnyama.
 
Back
Top Bottom