Pluto thnker
Senior Member
- Aug 25, 2024
- 147
- 295
Asante mkuu bahati njema hzo daw zp mazngira yangu. kesho naanza.Jaribu hili, maji ya ndulele, kidogo + utomvu wa papal bichi + mziwa ziwa utomvu wake changanya pakaa siku 14 ulete mrejesho, maendeleo!
UCHAWI WA KISAMBAA
Katika jamii ya Wasambaa na ukanda wake kuna aina nyingi za uchawi ndani yake. Nitatenga siku kwa ajili ya kuongelea uchawi namba 3 kwa kina sana zikiwemo na njia za kujikinga nao pamoja na tiba zake. Baadhi ya aina za uchawi zinazopatikana katika ukanda huo ni:-
1. SHAKIIZI
Huu ni aina ya uchawi ambao mchawi hutuma jini kwa mtu aliyemkusudia ili ajidhuru au adhuru wengine mhusika anaweza kuua au kugombana na ndugu zake bila kujitambua. Shakiizi huweza kusababisha mtu kufanya jambo bila kukusudia na akishalifanya hujikuta anajutia sana.
2. KOPERA
Huu ni uchawi wa kuibiana vitu kwa njia ya mazingara. Unaweza kuibiwa mazao, pesa au hata akili kwa wale mnaosoma yaani ni uwezo anaokua nao mchawi wa kuhamisha mali yoyote anayoitaka kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Kuna njia nyingi za kukabiliana na hali hiyo lakini zinazojulikana ni kuweka mfupa wa nguruwe, kumwaga au kuweka chumvi ya mawe au kutumia ndulele mbili au tatu kwenye mali yako. Pia maombi kwa wale wanaomwamni Mungu.
3. ZONGO
Hii ni aina ya uchawi wa kutumia macho ambao lengo kuu la mchawi huu ni kupima kinga zako za kichawi. Mkoa wa Tanga uchawi huu unaitwa "MUKU" na huko Arusha unaitwa "Jicho". Zongo humfanya mtu aumwe ghafla atapike au tumbo livurugike.
Mwenye uchawi huun akikuangalia tu utaumwa tumbo hadi kufa, au akikiangalia chakula hata kipikweje hakiivi na kikiiva kinakuwa hakina ladha kabisa na watakaokila lazima matumbo yawaume sana halafu waharishe sana.
Zongo inaweza kupigwa kwa mtoto mchanga, mama mjamzito, n.k Zongo huwa ni husda ya mchawi kwa kile unachokifanya au unachojishugulisha nacho. Zongo inaweza kupigwa pia kwenye vyombo vya usafiri, kama umeshawahi kusikia gari hili limerogwa au kila wakati lina haribika na kutengenezwa, au kama umewahi kusikia boti hili linaharibika kila likipakia abiria au injini yake kufeli kila likipata mzigo wa kusafirisha n.k
Mara nyingi zongo hutumwa kipindi ambapo mtu unakula kitu chochote mbele ya mchawi. Pia zongo hutumwa kwa njia ya kujikuna kuna ukiona unakula alafu mtu anajikuna kuna mbele yako mkanye na mwambie tu acha ujinga wako ataacha na atajua wewe ni mtaalamu wakati hauna utaaalamu wowote.
Zongo baya ni la kulogwa ukiwa unakula msibani maana uuguzi wake ni lazima upate chakula kingine cha msibani ndio uaguliwe nacho.
4. MVUAZA
Huu ni aina ya uchawi ambao mhusika anaununua rasmi kwa ajili ya kuogopeka au kukwepa madeni. Ukiwa na mvuaza unaweza kuwa unadaiwa lakini ukikutana na mtu anayekudai ile nguvu aliyokua nayo ya kudai inapungua anacheka cheka au anakusamehe kabisa, pia kama una kesi yoyote mvuaza humfanya aliyekushitaki asahau kwenda mahakamani au afute kesi au faili la kesi lisionekane.
5. NTIGO
Wasambaa tusaidiane hapa kama matamshi nipo sahihi, ila aina hii ya uchawi ipo kwa lengo la kuwalinda wake za watu au watoto wa kike. Ukitembea na mke wa mtu unaweza kuumwa kuanzia kwenye kiuno kushuka chini. Katika hili sio lazima kwamba mume wa huyo mke awe amekuonya au sio lazima uwe unajua kuwa ni mke wa mtu yaani kutembea naye tu unaumwa. Kupona kwa huo ugonjwa ni lazma umtafte mume wa mke uliyetembea naye muongee na umbembeleze umpe ng'ombe au fedha ufanyiwe uganga ili uweze kupona.
6. KIATU
Huu ni aina ya uchawi wanaotumia wachawi wa Kisambaa ambao lengo kuu la mchawi ni kumpeleka mbali sana mtu aliyekusudia kumroga. Yaani ukipigwa kiatu unatembea tu kila siku unaenda mbali na kwako au kwenu na kamwe haukumbuki nyuma wala utakua hauna mpango wa kurudi nyumbani. Kwa kutumia uchawi huu wanafamilia wanabaki wenyewe na wengine wasimbe huku wenye miji wakifia huko mbali kusikojulikana.
Hizi aina zote za uchawi na zingine ambazo sijataja hapa kwangu zinateguliwa tu kawaida.
👉 Tatizo kubwa la waganga uchwara walio wengi tulio nao kwa sasa ni kwamba wanakimbilia kutibu ikiwa hawajui wanatibu nini, hawana ujuzi wa kuangalia tatizo lilianza vipi na ni aina gani ya uchawi ulitumika kumroga mtu. Mtu akishajua dawa tatu nne basi anajifanya na yeye ni mganga. Kuna aina za uchawi ambazo ukijaribu kuutibu na hata kama wewe sio mganga basi unajiambukiza huo uchawi na mgonjwa anazidiwa. Mnatakiwa kuwa makini na mnachokifanya na maisha yenu pia. Kila kanda ina uchawi wake wa kiasili jambo unaweza kusambaa katika kanda nyingine na kwa majina tofauti.
Komesha ya hayo yote ni nnUCHAWI WA KISAMBAA
Katika jamii ya Wasambaa na ukanda wake kuna aina nyingi za uchawi ndani yake. Nitatenga siku kwa ajili ya kuongelea uchawi namba 3 kwa kina sana zikiwemo na njia za kujikinga nao pamoja na tiba zake. Baadhi ya aina za uchawi zinazopatikana katika ukanda huo ni:-
1. SHAKIIZI
Huu ni aina ya uchawi ambao mchawi hutuma jini kwa mtu aliyemkusudia ili ajidhuru au adhuru wengine mhusika anaweza kuua au kugombana na ndugu zake bila kujitambua. Shakiizi huweza kusababisha mtu kufanya jambo bila kukusudia na akishalifanya hujikuta anajutia sana.
2. KOPERA
Huu ni uchawi wa kuibiana vitu kwa njia ya mazingara. Unaweza kuibiwa mazao, pesa au hata akili kwa wale mnaosoma yaani ni uwezo anaokua nao mchawi wa kuhamisha mali yoyote anayoitaka kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Kuna njia nyingi za kukabiliana na hali hiyo lakini zinazojulikana ni kuweka mfupa wa nguruwe, kumwaga au kuweka chumvi ya mawe au kutumia ndulele mbili au tatu kwenye mali yako. Pia maombi kwa wale wanaomwamni Mungu.
3. ZONGO
Hii ni aina ya uchawi wa kutumia macho ambao lengo kuu la mchawi huu ni kupima kinga zako za kichawi. Mkoa wa Tanga uchawi huu unaitwa "MUKU" na huko Arusha unaitwa "Jicho". Zongo humfanya mtu aumwe ghafla atapike au tumbo livurugike.
Mwenye uchawi huun akikuangalia tu utaumwa tumbo hadi kufa, au akikiangalia chakula hata kipikweje hakiivi na kikiiva kinakuwa hakina ladha kabisa na watakaokila lazima matumbo yawaume sana halafu waharishe sana.
Zongo inaweza kupigwa kwa mtoto mchanga, mama mjamzito, n.k Zongo huwa ni husda ya mchawi kwa kile unachokifanya au unachojishugulisha nacho. Zongo inaweza kupigwa pia kwenye vyombo vya usafiri, kama umeshawahi kusikia gari hili limerogwa au kila wakati lina haribika na kutengenezwa, au kama umewahi kusikia boti hili linaharibika kila likipakia abiria au injini yake kufeli kila likipata mzigo wa kusafirisha n.k
Mara nyingi zongo hutumwa kipindi ambapo mtu unakula kitu chochote mbele ya mchawi. Pia zongo hutumwa kwa njia ya kujikuna kuna ukiona unakula alafu mtu anajikuna kuna mbele yako mkanye na mwambie tu acha ujinga wako ataacha na atajua wewe ni mtaalamu wakati hauna utaaalamu wowote.
Zongo baya ni la kulogwa ukiwa unakula msibani maana uuguzi wake ni lazima upate chakula kingine cha msibani ndio uaguliwe nacho.
4. MVUAZA
Huu ni aina ya uchawi ambao mhusika anaununua rasmi kwa ajili ya kuogopeka au kukwepa madeni. Ukiwa na mvuaza unaweza kuwa unadaiwa lakini ukikutana na mtu anayekudai ile nguvu aliyokua nayo ya kudai inapungua anacheka cheka au anakusamehe kabisa, pia kama una kesi yoyote mvuaza humfanya aliyekushitaki asahau kwenda mahakamani au afute kesi au faili la kesi lisionekane.
5. NTIGO
Wasambaa tusaidiane hapa kama matamshi nipo sahihi, ila aina hii ya uchawi ipo kwa lengo la kuwalinda wake za watu au watoto wa kike. Ukitembea na mke wa mtu unaweza kuumwa kuanzia kwenye kiuno kushuka chini. Katika hili sio lazima kwamba mume wa huyo mke awe amekuonya au sio lazima uwe unajua kuwa ni mke wa mtu yaani kutembea naye tu unaumwa. Kupona kwa huo ugonjwa ni lazma umtafte mume wa mke uliyetembea naye muongee na umbembeleze umpe ng'ombe au fedha ufanyiwe uganga ili uweze kupona.
6. KIATU
Huu ni aina ya uchawi wanaotumia wachawi wa Kisambaa ambao lengo kuu la mchawi ni kumpeleka mbali sana mtu aliyekusudia kumroga. Yaani ukipigwa kiatu unatembea tu kila siku unaenda mbali na kwako au kwenu na kamwe haukumbuki nyuma wala utakua hauna mpango wa kurudi nyumbani. Kwa kutumia uchawi huu wanafamilia wanabaki wenyewe na wengine wasimbe huku wenye miji wakifia huko mbali kusikojulikana.
Hizi aina zote za uchawi na zingine ambazo sijataja hapa kwangu zinateguliwa tu kawaida.
👉 Tatizo kubwa la waganga uchwara walio wengi tulio nao kwa sasa ni kwamba wanakimbilia kutibu ikiwa hawajui wanatibu nini, hawana ujuzi wa kuangalia tatizo lilianza vipi na ni aina gani ya uchawi ulitumika kumroga mtu. Mtu akishajua dawa tatu nne basi anajifanya na yeye ni mganga. Kuna aina za uchawi ambazo ukijaribu kuutibu na hata kama wewe sio mganga basi unajiambukiza huo uchawi na mgonjwa anazidiwa. Mnatakiwa kuwa makini na mnachokifanya na maisha yenu pia. Kila kanda ina uchawi wake wa kiasili jambo unaweza kusambaa katika kanda nyingine na kwa majina tofauti.
Kujikinga kiroho na kimwili mkuuKomes
Komesha ya hayo yote ni nn
Udhubilah mina saitan rajiimKujikinga kiroho na kimwili mkuu
Uhakika kabisaaDawa yake asili sehemu nyingi na inamaliza tatizo kwa 100% mualike mjomba wa huyo mtoto siku hiyo kwako kukaangwe kuku,samaki au nyama chakula anachopenda mjomba husika bila yeye kujua chochote chakula atachotengewa kifutiwe udenda wa huyo mtoto kisha kiwekwe tayari kumtengea mjomba ale bila kujua kinachoendelea,tatizo litaisha mara moja.
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Mimi imekataaga kabisa kupona,mpaka nmeshaacha kula pilipiliAisee hapa nimeshindwa hata kulala bawasiri inataka kuniua!
Na hiyo miti ndo inapatikana huko mbali!
Hii inatumikaje mkuu?Hii ni ARV ya asili.usiichukulie poa.inafubaza tuu lakini HAITIBU . botanical name is gotu colaView attachment 3221526