Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Dawa ya kutoa jini mwilini
Uthithubutu kama huna elimu kamili na hujui ukubwa wa huyo kiumbe alie mwilini wakati mwingine husababisha hadi kifo kwa mtoaji au mtolewaji,dawa za hao zipo hasa hasa mafuta ya thwaumu ukitumia haya mara kwa mara kiumbe hakai ndani yako,mchanganyiko wa dawa za kuchuma kwa wale viumbe korofi sina kumbu kumbu zote ila ya muhimu ni kifagio

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Na mimi napandisha hii,
𝗞𝗮𝗺𝗮 𝘂𝗻𝗮𝗱𝗲𝗺𝘂 𝗮𝘂 𝗺𝗸𝗲 𝗻𝗮 𝘂𝗻𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗮𝘀𝗶𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗲 𝗱𝗮𝗶𝗺𝗮 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗳𝘂𝗿𝗮𝗻𝗶 𝗵𝗶𝘃𝗶 𝗵𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗸𝗮 𝗸𝘂𝘇𝗶𝗻𝗱𝗶𝗸𝗶𝗮 𝗻𝗷𝗶𝘄𝗮 𝘄𝗮𝘀𝗶𝗼𝗻𝗱𝗼𝗸𝗲/𝘄𝗮𝘀𝗶𝘁𝗼𝗹𝗼𝗸𝗲, 𝗵𝗮𝘆𝗼 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗵𝘂𝗽𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗺𝗲𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗶𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗺𝗲𝗮 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗴𝗮, 𝗻𝗮 𝗺𝗯𝗲𝗴𝘂 𝘇𝗮𝗸𝗲 𝗵𝘂𝘄𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗼𝗴𝗮,
𝗕𝗮𝘀𝗶 𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗴𝗼𝗱𝗼𝗹𝗼 𝘀𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘂𝗻𝗮𝘆𝗼𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗸𝗶𝗰𝗵𝘄𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗳𝘂 𝘂𝘁𝗮𝗸𝗮𝗽𝗼 𝘀𝗲𝘅 𝗻𝗮𝘆𝗲 𝗮𝗸𝗶𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗵𝗮𝗽𝗼 𝗵𝗮𝘁𝗼 𝗸𝘂𝗮𝗰𝗵𝗮 𝗸𝗮𝗺𝘄𝗲,

𝐍𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐣𝐮𝐦𝐥𝐚 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐢𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐭𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐳𝐨 𝐧𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞, 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐧𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐡𝐮𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞𝐧𝐞𝐳𝐚 𝐧𝐲𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐩𝐨𝐥𝐢𝐧𝐢 𝐦𝐟𝐚𝐧𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐨𝐭𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐧𝐝𝐞𝐠𝐞, 𝐮𝐤𝐢𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐮𝐥𝐞 𝐦𝐭𝐢 𝐮𝐤𝐚𝐮𝐰𝐞𝐤𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐤𝐢𝐮𝐯𝐮𝐤𝐚 𝐭𝐮 𝐛𝐚𝐬𝐢 𝐚𝐭𝐚𝐛𝐞𝐛𝐚 𝐯𝐢𝐥𝐚𝐠𝐨 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐨𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐭𝐚𝐟𝐭𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐚 ,( kuhusu huyu mnyama nitaulizia jina nitawatajia)

Kama unapita sehemu hatarishi na unaona kabisa kuna watu wabaya mbele kuna mmea au maua furani huota sana maeneo ya nyikani sehemu za tambalale yanaitwa kwa kilugha (𝐈𝐥𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐞) ukiyachuma majani haya na kujipaka maybe kwa kuchanganya na mafuta au kwa kuyafikicha na kujipaka mwili mzima Utapita kama ni mbele ya majambazi au watu wabaya na hawata kudhuru,
Nikipata mda wa kwenda kijijini nitawawekea picha ya majani haya.
Hii paragraf ya pili kwa njia rahisi ya kufanikisha hilo hakuna??

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Hii paragraf ya pili kwa njia rahisi ya kufanikisha hilo hakuna??

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Hapana sifahamu njia nyingine but me niliambiwa mnyama mwenyewe ni Sokwe,
ukipata mti aliotengeneza kitanda au mfano wa nyumba kama kiota ukatupa kwa mtu unayetaka muachane basi ataondoka na kwenda mbali sana na wewe
 
Mti wa mnyonyo:
===========
Amka asubuhi nenda moja kwa moja kwenye mti dume wa mnyonyo, chuma kashina kekundu na majani ya juu saba, kalete kashina Kako mpaka juu ya meza ndani mwako kafunike na kitambaa cheupe safi, kiamrishe Nina shida ya fedha nahitaji fedha haraka sana nataka unisaidie, fanya hivyo mara tatu na kukigonga mara tatu tu.
Baada ya hapo chukuwa majani yako saba pamoja na ndio ya chuma zile za kizamani, siginia majani yako humo we mpaka yawe kama yanataka kutoa povu kogea kwa nuizi, Subiri kitakachokufuata utafurahi sana.
Kile kijit i kisitiri ndani mwako!
 
Mti wa mnyonyo:
===========
Amka asubuhi nenda moja kwa moja kwenye mti dume wa mnyonyo, chuma kashina kekundu na majani ya juu saba, kalete kashina Kako mpaka juu ya meza ndani mwako kafunike na kitambaa cheupe safi, kiamrishe Nina shida ya fedha nahitaji fedha haraka sana nataka unisaidie, fanya hivyo mara tatu na kukigonga mara tatu tu.
Baada ya hapo chukuwa majani yako saba pamoja na ndio ya chuma zile za kizamani, siginia majani yako humo we mpaka yawe kama yanataka kutoa povu kogea kwa nuizi, Subiri kitakachokufuata utafurahi sana.
Kile kijit i kisitiri ndani mwako!
Picha mkuu ya huo mti??
 
Mti wa mnyonyo:
===========
Amka asubuhi nenda moja kwa moja kwenye mti dume wa mnyonyo, chuma kashina kekundu na majani ya juu saba, kalete kashina Kako mpaka juu ya meza ndani mwako kafunike na kitambaa cheupe safi, kiamrishe Nina shida ya fedha nahitaji fedha haraka sana nataka unisaidie, fanya hivyo mara tatu na kukigonga mara tatu tu.
Baada ya hapo chukuwa majani yako saba pamoja na ndio ya chuma zile za kizamani, siginia majani yako humo we mpaka yawe kama yanataka kutoa povu kogea kwa nuizi, Subiri kitakachokufuata utafurahi sana.
Kile kijit i kisitiri ndani mwako!
Mnyonyo dume nitaujuaje?
 
Alovera Poli ni dawa ya kurudisha kumbukumbuku Kwa mtu anayesahau mara Kwa mara lenyewe ni kubwa ivi afu ukilitafuna ni litamu si chungu kama haya ya kupandwa nikirudi kijijini nitapiga picha matumizi yake unalitafuna lenyewe likiwa bichi kipande kidogo

Mbili dawa ya kutibu mkanda jeshi au Kwa jina jingine unaitwa moto wa Mungu haya hadi niwe napicha pia manaa jina sjajui ila nikiyaona nayafahamu ni majani ambayo Huwa yanapenda kuota katikati ya mti au vichaka Yana vimajani vyembamba unachukua unatwanga unpaka sehemu ambayo imeathirika
 
Alovera Poli ni dawa ya kurudisha kumbukumbuku Kwa mtu anayesahau mara Kwa mara lenyewe ni kubwa ivi afu ukilitafuna ni litamu si chungu kama haya ya kupandwa nikirudi kijijini nitapiga picha matumizi yake unalitafuna lenyewe likiwa bichi kipande kidogo

Mbili dawa ya kutibu mkanda jeshi au Kwa jina jingine unaitwa moto wa Mungu haya hadi niwe napicha pia manaa jina sjajui ila nikiyaona nayafahamu ni majani ambayo Huwa yanapenda kuota katikati ya mti au vichaka Yana vimajani vyembamba unachukua unatwanga unpaka sehemu ambayo imeathirika
Hili hapa - halina uchungu wowote na lina utelezi (ute-ute) mwingi sana. (Edible sweet alovera)
IMG_20220729_194153[1].jpg
 
Mkuu pole sana aisee, fanya maamuzi magumu ndugu. Ukiamua utaweza amini hivyo kaka.
Kaka heshima yako.... mimi naomba uniambie dawa ya kuacha sigara maana zinanitesa sana mkuu.nshajaribu kuacha mwezi tu nsharudia kuvuta tena kwa kasi tofauti na mwanzo.fanya hivyo kaka maana mambo haya siyapendi sema basi tu.
 
Alovera Poli ni dawa ya kurudisha kumbukumbuku Kwa mtu anayesahau mara Kwa mara lenyewe ni kubwa ivi afu ukilitafuna ni litamu si chungu kama haya ya kupandwa nikirudi kijijini nitapiga picha matumizi yake unalitafuna lenyewe likiwa bichi kipande kidogo

Mbili dawa ya kutibu mkanda jeshi au Kwa jina jingine unaitwa moto wa Mungu haya hadi niwe napicha pia manaa jina sjajui ila nikiyaona nayafahamu ni majani ambayo Huwa yanapenda kuota katikati ya mti au vichaka Yana vimajani vyembamba unachukua unatwanga unpaka sehemu ambayo imeathirika
Picha mkuu maana kuna aina kama 7 hivi za alovera
 
Ndio hili hili linavidoti doti afu sio chungu kabisa
Na huwa ni shina moja tu halitoi matawi au maotea(Suckers) kama baadhi ya yale yanayopandwa majumbani kama maua/urembo. Tofauti kubwa ni kule kutokuwa na uchungu wowote na ute wake ni colourless kama maji na utelezi. Hayo aina nyingine ute wake ni njano na ni mchungu sana na hayana utelezi ni almaarufu kama shubiri mwitu.
 
Back
Top Bottom