Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Kwa watakao tumia tiba yoyote kutoka humu atoe ushuhuda amesaidika bila kujali kwa ukubwa au udogo gani.

Umetumia tiba gani
Umetumiaje (kwa muda gani).
Italeta uhai wa hii thread na kua msaada.
 
Kwenye uzi huu kuna mtu ashawai experience tatizo la uume mdogo na kuwai kumwaga wakati wa tendo i mean kwa anaeona madhara ya punyeto. Alifanyaje na alitumia dawa gani kutibu na kuwa normal. Nahitaji kufahamu ila kwa ambae amejichua kwa zaidi ya miaka 11 na akapona @
 
Uzi udumu milele,


Kwa jinsi nilivyosoma kupitia huu uzi hayo majani na pilipili ni katika kuleta bahati/ kusafisha nyota.

Umefuata utaratibu wa dozi au formula yake jinsi inavyopasa kutumia,hata chumvi mawe ukiitumia vizuri inatoa majibu ie mara (asbh mchana jioni) 7, 14 au 21 kulingana na ukubwa wa tatizo lako.

Tuondoe mind set kwamba vyetu avina maana kumbuka wazazi/ mababu zetu walisavaivu century na century wakitumia izi formula.

Ivi vitu vinafanya kazi kweliii sema sisi tunataka majibu ya hapo kwa hapo bila kuangalia tatizo mpaka ukaligundua ni kwamba uko nalo muda mrefu ivyo kuliondoa pia itachukua muda.
Matumizi mazuri zaidi ya chumvi mawe hata kwa mgonjwa aliyeathirika sana na manguvu ya giza, ishike kwenye viganja vyake, elekea magharibi zungumza maneno haya mara 66, MAZJALIN, BAZJALIN. Uone maajabu ya ajabu, infact ni njia rahisi ya kutengeneza maji nathubutu kusema ni zaidi ya maji ya upako.
 
Habari, Hongera Kwa uzi huu ni msaada kweli kweli
Me naomba msaada Nina kohoa sana kikohozi kikavu muda Sasa nimetumia asali tangawazi kitunguu saum lkn wap msaada tafadhali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Msaada tutani dawa ya hii hali shingon kwa mtoto inamjda mrefu anatumia dawa inapoa akiacha inarud
Screenshot_20220821-054632.jpg
 
Habari, Hongera Kwa uzi huu ni msaada kweli kweli
Me naomba msaada Nina kohoa sana kikohozi kikavu muda Sasa nimetumia asali tangawazi kitunguu saum lkn wap msaada tafadhali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Chemsha maziwa, weka turmeric na tangawizi, na karafuu powder kunywa mkuu kitaachia tu. Kila asubuhi na jioni.
 
Mie nimetumia mizizi ya mgomba na dude lake lile la rangi ya pinki kuogea na kunywa vimesaidia
Safi mkuu. Inatia moyo na umewasaidia wengi kuamini mambo haya.

Nyote mliotoa tips mbali mbali kongole kwenu, na mje muone mmoja kati ya wengi wamenufaika.
 
Back
Top Bottom