Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Mkuu Kizibo ni vyema ukatupa bei kuliko kuturngishia. Natanguliza shukurani najua wewe ni muelewa.
Ninacho[emoji41]
Screenshot_20220921-073524.jpg
 
Msaada wenu wanajam

2. Na tiba ya maumivu mf. wa uchovu wa misuli kwenye misuli ya bega la kushoto. Kuanzia shingoni kwenda ukanda wote wa bega la kushoto.

Hii inaweza isisababishwe na uchovu.
 
Kichomi : kama kinakupata marakwamara, jichunguze. Kuna miili Ina ugomvi namaji ya baridi hata kama una ishi kartumu chemsha maji kidogo yatoke kiubaridi ndio uoge.

Inje yahapo Kuna mmea nitaupiga picha nakuiweka hapa.
 
Nasikia kuna watu wanajua dawa ya ukimwi ila wanaogopa serikali . Hii ikoje
 
Back
Top Bottom