Just a person
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 984
- 1,232
Bado mpo na vitabu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry van van oil ni mafuta gani jamani?
Mkaa na ndulele nilishaweka sana na bado nikaendelea kuibiwaUkianika mazao yako mfano mpunga,mahindi,nk ukihisi wapumbavu watachota kupitia kiini macho, chukua ndulele turatura tupia katikati kwenye mazao.
Weka ndulele, au ndimu, au mkaa katika drop ya pesa zako dukani ni kinga dhidi ya wapumbavu pesa zako zitakuwa salama.
Itamfanyaje mchawi?Kama unasumbuliwa na mapepo au uchawi nyakati za usiku
Chukua mkasi na uweke katika Bible, kwenye zaburi 91 na baada ya kuweka mkasi chukua Bible na uweke chini ya mto alafu lala, utanishukuru baadae
Hii inasaidia nn mkuu?Unatakiwa upate tiba ya misumari 9, na mibuyu 9.
Kuna namna Yake ikifanywa unapata kazi fasta na ukishapata hakuna wa kukufukuza wala kukutetemesha,mpaka ustaafu wako!Hii inasaidia nn mkuu?
Tupe hii mkuuKuna namna Yake ikifanywa unapata kazi fasta na ukishapata hakuna wa kukufukuza wala kukutetemesha,mpaka ustaafu wako!
Weee usinambieKuna namna Yake ikifanywa unapata kazi fasta na ukishapata hakuna wa kukufukuza wala kukutetemesha,mpaka ustaafu wako!
Kwa kweliTupe hii mkuu
Mkaa unaofaa hapo ni ule wa jalalani yaan unauokota toka jalalan hukoMkaa na ndulele nilishaweka sana na bado nikaendelea kuibiwa
Wowote wakuokota kiufupi uwe wa jaani(jalalani?)Mkaa unaofaa hapo ni ule wa jalalani yaan unauokota toka jalalan huko
Mwandishi wa hiki kitabu ni nanThe Book of Gold ninacho pia mkuu
Mkuu hiki kitab kwel unacho?At least umenena kiasi maana ni kitabu kwelikweli jinsi nilivyokiomba Kwa bidii toka uturuki, nathubutu kusema hiki kitabu ni mwisho wa matatizo!kukigawa naona kama mtu anataka kunikata kichwa.utafika ngapi? Taja mwenyewe?
Mwandishi wa hiki kitabu ni nan
Mwandishi wa hiki kitabu ni nan
Man thanks sana kuna wana sio wana wakizeeka watakuwa wachawi walikuwa wanalinga na kutabu hiki hata tuliposema tuwape dau wakawa wanazingua...!Ni bora utoe kitabu mtu akapambane mwenyewe
Asante sana Kiongozi... Mungu atubariki soteMan thanks sana kuna wana sio wana wakizeeka watakuwa wachawi walikuwa wanalinga na kutabu hiki hata tuliposema tuwape dau wakawa wanazingua...!
Mungu akurehemu na kukuzidishia baraka tele maishan mwako.....!!
Kwa niaba ya wadau wote tuliokuwa na uhitaji wa kitabu hiki na ambao tulikuwa tayar kutoa pesa nasema ASANTE SANA...!!
MAFANIKIO MAKUU YA MWANADAMU NI PALE UNAPOFANIKISHA WANADAMU WENGINE KUFANIKIWA by amleviJR