Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Ilo mujarabu jitaid ulipateShukrani ila kulipata hilo tunda ni mtihani huku nilipo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo mujarabu jitaid ulipateShukrani ila kulipata hilo tunda ni mtihani huku nilipo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nilomquote kashaelewaShida nini?
Elezea vzr mkuuMbegu za bang ukitumia ngoma utaisikia kwa wenzio
Umesema mbegu z bangi ngoma utaskia kwa majiran.Kitimoto+mayai
Wamekuelewa mkuu.Onyo: Thread inahusu Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani, si vinginevyo. Kama unapost kitu ambacho si mimea unakosea. Asante
Mkeo anauzito kiasi gani? hakikisha hakuli vyakula vizito usiku! Na asichoke sana mchana...poleNaombeni dawa ya mtu kuacha kukoroma wakuu,mke wangu anakoroma hadi usingizi sipati,iwe kifupi fupi ubavu vyote atakavyo lala lazima akorome
Mkuu sio kila mimea na tiba tunazopata majumbani zinapatikana from nowhere, hvyo vitabu ndio vinatupatia maelekezo juu ya nini chakufanya note that Bro!!Onyo: Thread inahusu Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani, si vinginevyo. Kama unapost kitu ambacho si mimea unakosea. Asante
Kunywa majani ya mashika nguo twanga uchuje unywe hiyo juice kwa week nzimaWakuu naombeni mnijuze dawa ya kupona kabisa peptic ulcers.
Nakushauri anzisha uzi wa vitabu na uchambuzi wa Vitabu vya tiba au uzi wa Uchawi. Lakini sio mnaleta mada ndani ya mada ya mtu mwingine. Kujadili vitabu sio lengo la mleta thread. Thread inahusu mimea tiba sio Vitabu vya tiba. Tujikite kwenye mada.Mkuu sio kila mimea na tiba tunazopata majumbani zinapatikana from nowhere, hvyo vitabu ndio vinatupatia maelekezo juu ya nini chakufanya note that Bro!!
Kunywa pafyumNahitaji mkojo wangu uwe wa manukato.
Sawa Mkuu!!Nakushauri anzisha uzi wa vitabu na uchambuzi wa Vitabu vya tiba au uzi wa Uchawi. Lakini sio mnaleta mada ndani ya mada ya mtu mwingine. Kujadili vitabu sio lengo la mleta thread. Thread inahusu mimea tiba sio Vitabu vya tiba. Tujikite kwenye mada.
Anatoka uchafu au hatoki?Na hii hali haimpati mara kwa mara kuna wakati na wakati.
Kama anatumia dawa za kuzuia mimba ikiwemo P2 inaweza kuwa sababuKwa maelezo yake anasema anapata maumivu kama tumbo la period, mwenye kujua tiba mbadala tafadhari.