Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

dawa ya kuacha pombe,sigara na madawaKwa wale wanaotumia sigara,bangi na madawa ya kulevya na wanahitaji KUACHA hii ndyo dawa mujarabu kwa

⚡wanywaji wa pombe
⚡Bhangi, sigara
⚡Mirungi , ugoro
⚡Na madawa mengine ya kulevya ukitaka KUACHA

🌹 Chukua dawa inayoitwa MURDA , chukua majani yake uyaanike yakauke


🌹Kisha chukua majani hayo na uyasokote kama sigara kisha vuta msokoto huo nusu asubui na nusu yake jioni , yaani kutwa mara mbili

🌹Dawa hiyo utayumia kwa siku tano tuu. Hakika hutotamani walakutimia tena vilevi vyako

🌹 Na dawa hii ilivyo mujarabu ukivuta mara ya kwanza tu hapo hapo jaribu kuvuta bhangi au sigara au kunywa Hakika utaona inakukera sanaa na ni mbaya
Kaka kwa mujibu wa Google nimeshindwa upata na haujatajwa popote hebu type jina lingine na picha
 
dawa ya kuacha pombe,sigara na madawaKwa wale wanaotumia sigara,bangi na madawa ya kulevya na wanahitaji KUACHA hii ndyo dawa mujarabu kwa

[emoji298]wanywaji wa pombe
[emoji298]Bhangi, sigara
[emoji298]Mirungi , ugoro
[emoji298]Na madawa mengine ya kulevya ukitaka KUACHA

[emoji257] Chukua dawa inayoitwa MURDA , chukua majani yake uyaanike yakauke


[emoji257]Kisha chukua majani hayo na uyasokote kama sigara kisha vuta msokoto huo nusu asubui na nusu yake jioni , yaani kutwa mara mbili

[emoji257]Dawa hiyo utayumia kwa siku tano tuu. Hakika hutotamani walakutimia tena vilevi vyako

[emoji257] Na dawa hii ilivyo mujarabu ukivuta mara ya kwanza tu hapo hapo jaribu kuvuta bhangi au sigara au kunywa Hakika utaona inakukera sanaa na ni mbaya
Kwenye maduka ya kisunna inapatikana hii kitu kweli?
 
View attachment 2894441Mchunga ( Dandelion) ni mmea wenye faida nyingi sana Binadam. Hapa Tanzania unapatikana porini na majumbani kama maua.
MCHUNGA ni mmea unafaha na kutibu maradhi mbalimbali kama vile;
  • Matatizo ya mifupa
  • kukosa damu
-matatizo ya mkojo
-kisukali
- Figo
-Ini
-Kansa ya damu
  • kansa ya umbo
  • kansa ya kongosho
  • kansa ya matiti

MATUMIZI
Tengeneza chai kutokana na Mizizi yake na kunywa mara 2 kwa siku.
Tumia Unga wa Mizizi kupaka kwenye ngozi yenye shida.
Kunywa kinywaji cha juice ya majani au Mizizi ya MCHUNGA.View attachment 2894462View attachment 2894464View attachment 2894460
Mkuu picha namba nne nimeufukua nimekuta mizizi meupe, na pia huo mdogo nimeufukua nimekuta mweupe picha namba tatu, je ni wenyewe
 
Sijaelewa mkuu kwaiyo sio mchunga huo ni Nini, maana kasema ni mchunga na upo majumbani mwetu
Mchunga ni Eruca vesicaria (Arugula)- google hili jina uone picha yake.
Hiyo aliyoweka kama mchunga, sio wenyewe
 
Nina shida ya miguu kuwaka moto sana hasa usiku nishapima diabete sina.Naombeni dawa ya kienyeji tafadhali
 
ELIMU YA BURE..VYAKULA (TIBA).. TOA ADHABU..wabaya wataanza kukukwepa.

Hivi ni baadhi ya vyakula muhimu sana katika tiba asili. Wakati maisha yakiendelea kama kawaida, utumiapo vyakula hivi utajikuta UKIJITIBU mwenyewe bila kufahamu ama KUJIKINGA na majanga ya kishetani na kichawi automatically.

Kama si hivo basi UTAWAHANGAISHA walozi wako na KUWAADHIBU VIKALI masheitwan walioko mwilini mwako au katika makazi yako kwani hutumia makazi na mwili wako kama
makao yao huku ukiwahifadhi, kuwatunza, kuwalinda na kuwatumikia bila ya wewe kufahamu, wakati huo huo wakikuharibia kila kitu japo utaona kana kwamba unajiharibia mwenyewe (self destruction) huku wakikulia timing ya kukuteketeza mazima (total destruction) .. Sasa kabla ya total destruction JIFAHAMU VEMA.

1. Chumvi ya mawe, wakati mwingine pikia chumvi mawe katika mapishi yako ya kila siku. Pia ukiona kitu usichokielewa, mimina au nyunyiza chumvi mawe kwenye hicho kitu.. Alafu chukua hatua.

2. Pilau, Mara moja moja pika pilau kwako. Faida ya kitiba IPO katika vile viungo vyake bila kusahau kitunguu saumu.

3. Pika mbaazi, choroko, kunde nk bila kusahau ufuta, ubuyu na ukwaju.

4. Pendelea kutumia vyakula vya baharini. Hata kama si mpenzi wa vyakula hivyo basi Mara moja moja jiongeze tu kula vyakula hivyo.

5. Pika na tumia chai ya viungo asili kama mdalasini, iliki, karafuu, mchaichai nk. Usichukulie poa ati vinauzwa kwa Tsh mia.

6. Kivumbasi.. Mwinura mkubwa .. Kashwagara. Tumia mmea huo kupikia chai pia . mikoa mingine kiungo kikuu cha chai ni mwinura mkubwa. Wengine hutumia kivumbasi kupikia kahawa za kutafunwa. Faida sana.

7. Epuka uzinzi na ulevi, mashetani hupitia sana hapa, ukiachana na VISASI vya wanadamu vitokanavyo na stress za mapenzi.

8. Mara moja moja tumia maji bahari kujikogesha mwili wako. Usijisingizie ati bahari iko mbali nawe, usafiri upo sehemu zote.

9. Nenda katika ibada yako kanisani au msikitini kulingana na imani yako.. Hats kama ni nyumbani kwako, usimsahau Mungu.

10. Usimnyenyekee shetani hata siku moja ati ''yaani nimehangaika kote ila sijapata tiba..nimeamua kuacha'' .. Unajipa madhambi ya bure wewe.

11. Kachungulie, usiache muda mrefu ukapita bila kwenda KUNAKO ili '' kujifuatilia mwenyewe'' utafahamu mengi yaliyokuzunguka.

12. Tumia mboga za majani aina nyingi uwezavyo. Utakuta jamii moja wanatumia, nyingine hawatumii. Ukiwa umenisoma hapa basi jitahidi ule, mfano katika jamii moja ni mboga, kwingine ni chakula cha sungura. Nakwambia we kula mboga hizo.

Hayo ni baadhi tu, ikiwa mwilini mwako una uchawi, unaweza ukauondoa japo unaweza usitambue hilo. Pia kama kuna jini mchafu mwilini mwako utamuadhibu na kumuhangaisha. Uwezekano ni mkubwa sana akaukimbia mwili wako.

Cha msingi na sekondari, fuatilia ili usafishe mwili wako kuondoauchawi, masheitwani, kunusi na nuksi, ufungue liziki zako na vifungo vingine na kung'arisha nyota na update kazi ili maisha yaendelee. Kumbuka maisha haya ni yako binafsi (mwili, roho na nafsi) ni vyako na havina mbadala (spea). Jihangaikie mwenyewe. ULIZA CHOCHOTE, NITAKUJIBU.
Mkuu naomba ufafanuzi wa namba 11 pliz sijaelewa
 
Usingekopi na kupesti ingependeza zaidi, nitazungumzia hapa mti ambao huzaa matunda yanayofanana na jamii za kunde japo yenyewe ni marefu zaidi, mbegu zake ni dawa, majani yake ni chakula na dawa nzuri sana pia, mti huu ni mlonge(mti wa maajabu).

Endapo utatumia majani yake kila siku utazisahau dawa za hosipitali, huu si utani.
Ninamuelewa sana huyu tabibu,km umejenga usikose huu mmea nyumbani kwako.
 
Chai ya karafuu ni nzuri mno kiafya pale itakayokuwa inatumiwa mara kwa mara hufanya ganzi
View attachment 2265838
Asikudanganye mtu,
Suala la kumwaga maji ya baraka lina uhusiano na mambo matatu tu.

1 Kama unafanya mara kwa mara,kasi ya uzalishaji wa manii inapungua na hivyo kiwango cha manii kinakuwa kidogo hali itakayokufanya uchelewe,lkn km unapitisha kipindi kirefu bila kupata sehemu ya kumwaga na usimwage kwa kujichukulia sheria mkononi (goli la mkono) ama usijifunge goli (lile la usingizini) basi ukipata sehemu ya kumwaga dakika 1 tu tayari,sasa kipindi cha pili ndipo utatengeza move ya kupata goli la kuombea mkopo.

2 Mind set (psychology), kama una mawazo yasiyokuwa na tendo la ndoa,hapa dada wa watu ataimba tenzi zooote zitaisha na matokeo bado 0 0.
Itakulazimu kuvuta taswila ya kuwa unamshughulikia Jordin Sparks,Selena Gomez na wengineo ndipo maji ya baraka yaje.

3 Mtindo na mfumo wa maisha pamoja na lishe kiujumla.
 
watu wa iringa wanaita mlangali ni moja kati ya miti yenye Nguvu sana ya kutengeneza Ngao ya kujilinda na Vitu vichafu asa ile midogo ambayo haijazeeka ukipata Fundi wa kutengeneza Ngao akikutengeza kwenye huu mzigo hakuna paka atakayekusogerea na akijaribu safari yake inakua imeiva
1394381004.jpg
 
kuna mti watu wa iringa wanaita Mwisa ikiwa midogo midogo ivi inaota kama vichaka inakua mingi sehemu moja ikiwa mikubwa inakua na mamiba miba Tena ipo mingi sana karibu kila kona ya Tz asa maporini ile ukipata majani yake asa kwenye mwisa mdogo kama unashida ya kichefu chefu kinyaa tumbo kachufuka ovyo ukila chakula kinarudi mdomoni iyo asa Ndio dawa yake ukitumia mara mbili inakataa kabisa ila Babu alitwambia sharti lake uchume na mdomo utafune pale pale na ni vizuri iwe asubuhi mim picha ake sina
 
Kuna mboga inaitwa mnafu kwa mwanamke anayesumbuliwa na Uzazi sio vizuri kabisa kutumia na kuna li mti la kufungulia uzazi kwa wanawake yanaota porini sana Tena kwenye miiba siku nikiwa porini kijini kwetu nitalipiga picha
 
Kwa walioulizia muegeya ndio huu hapa, wengine wanauita Mvunge.
View attachment 2276653View attachment 2276654
Kumbe.
Lisamwa kwa Kijita.
Hilo tunda lake likakatwa vipande vidogovidogo,likachanganywa na maji,likachemshwa kisawasawa linaongeza damu kwa kiwango kikubwa sana ndani ya muda mfupi.

Wajawazito matumizi ya hili tunda lozera haifuati wala kusogelea.
Kwa upungufu wa damu,kata vipande vidogovidogo vya tunda hili lililo komaa,usikate lote maana ni manene sana,kata robo yake tu changanya na maji kiasi cha 5L,kunywa kila mara km mbadala wa maji ya kunywa.
 
Back
Top Bottom