Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

Tumeingia mwezi mtukufu wa Rajab..
jystuysu6suy68554t5-min.jpg
 
SHIDA TUKIULIZA KWANINI MNAVAA HIJABU MNAKOSA MAJIBU.
*Hijabu ni vazi la Stara bro, Huwez ona Pipi inauzwa dukani iko bila ganda lake ni km mfano wa hijabu
*Kuvaa hijabu ni maamrisho ya Allah(Mungu) kwa mtume na wake zake na sisi sote pia kuwa Wateremshe hijabu zao mpaka kifuani, we can't go against to what our Lords Says, Cause Allah(mungu) Hajawahi kuamrisha kitu kisiwe na ubaya wake na kikifuatwa kina faida zake but Kwa wakorofi wa zinaa hili linawachukiza sana wanataka funufunu wa enjoy...
*Kingine Hilo vazi la hijabu ni nje tu ya nyumba yake Kwa watu wasio mumewe Embu pata picha uwe na mtoto mkali alafu hakuna Mtu anayemwona shepu wala stori ispokuwa wewe mwenye mali yake Hah!! My friend hiyo raha hailezeki ukipata mwanamke mzuri mchamumgu wa stara ka ivo na unakula Mwenyewe; so kwa ndani huwa wanakaa kimahaba watakavyo tena vinguo vya kimalaya wanavyo ka vyote yani full bikin G string za kutosha vimini vya kutosha kanga moko yani ni shida ila Nje Full suit mzee tinted kali ana enjoy mfalme ambaye wewe ndani Tu
HOW COOL IS THAT!!! TRY IT MARRY (GOD FWARING) WOMAN THEN YOU WILL SEE...
NB: SIYO WOTE WAVAA HIJABU WANA STARA WAKO NI WASHENZI VILEVILE.
 
Back
Top Bottom