Kabisa, umma siku hiz umekuwa ni wenye kupotea sana kwa haya mambo ya kumfuata SheikhAkifanya Shekhe au mtu yeyote sio kigezo cha usahihi wa jambo kuwa mbona fulani anafanya bali usahihi ni lilolothibiti kwa dalili.View attachment 2549526
Na wakati huo wanafahamu fika kifo kinawanyemelea, masikitiko
Nimeipenda hii, ngoja siku moja nikijaaliwa nafasi niige mtaani kwetu huku, maana vijana kamari inazidi kutuangamiza
[emoji173]
Wainallilah.....Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Verily we belong to Allah and verily to him do we return
πΊπππ ππππππWainallilah.....
Wewe sasa ndio umekosea.Wainallilah.....