Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

Uzi maalumu wa picha za nukuu na misemo mbalimbali ya kiislamu

IMG_0459.jpg
 
Aya ninayoipenda mno sababu inatoa taswira hali ya sasa ya wengi wetu kumpuuza maandishi na makatazo ya Qu'ran japo imebainisha wazi kila kitu . Mwenyezi Mungu atuongeze tushikamane nayo ipasavyo
Screenshot_20220729_065529.jpg
 
Moja Kati ya vitu ambavyo vitawaingiza watu motoni kwa wingi siku ya kiama ni Ulimi kwani kupitia ulimi mtu anaweza;Kupotosha ,kusengenya ,kuzungumza uongo,kugombanisha ,kuleta fitna ,kutukana nk.

Na katika hadithi moja Mtume Muhammad (SwallaAllahu'aleyhi wa salam) amesema yeye amemdamini pepo mtu anayechunga ulimi na tupu yake.
45de22c18ce64b1aaae5a11f8c3ee4d3.jpg
 
Sina gari ,mali wala utajiri ila kunakitu kila nikifikiria najiona napaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu sana tena zaidi ya sana si kingine bali kunijaalia mimi kuwa miongoni mwa waislamu kwani maisha yasingekuwa na maana yeyote kwangu bila uislamu.
33b042647fe7408498440fa48d62c2a8.jpg
 
Back
Top Bottom