Uzi maalumu wa wenye maduka ya spare za pikipiki nchini

Uzi maalumu wa wenye maduka ya spare za pikipiki nchini

Me nipo mkoani but maduka yote dar yenye wateja wa jumla mikoani hayatofautiani sana bei utofauti wa bei upo ktk makampuni rps,sll,yueao,bufu,kuda etc
 

Kwa mm huku mkoani nauza shock absorber za nyuma alfu 43000 na battery ni alfu 32000 kwa rejareja mana duka langu ni rejareja​

 
Back
Top Bottom