Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief naomba msaada wa namba zaoUmeona eeehe! Sasa kuna wakat nilijaribu kuongea nao wale kampuni ya sinoray khs breakshoe ilikuwa mwaka wa jana kama sikosei, Wakaniambia kuwa wataniuzia kwa bei ya tsh 1900 kama sikosei Tena nichukue box 10 na kumbuka box Moja zinakaa 100. Hivyo basi box 1 ni tsh 190,000 na kwa box 10 ni tsh 1,900,000. Sasa hapo sisi ndo wale wa 1M-5M inakuwa ngumu kwahyo Bora nichukulie tu hapa kwa bei ya labda 2100-2200
Ni pmChief naomba msaada wa namba zao
Ukihitaji za bm 125, bm 150 na tvs 125 nicheki..ninazo mimi dukani kwangu kariakooPiston za king lion na valve zake pamoja na timing chain ya king lion naweza kupata wakuu?