UZI MAALUMU:Wanaume wote wenye sura kuntu( sura za kiume) tukutane hapa:

Write your reply...mkishamaliza kutoa ushuhuda kapimemi watoto wenu dna .hakuna mwanamke anaependa kuharibu mtoto wako nimeongea tu japo sina sura laini
 
Enzi zangu nikiwa monitor (primary school) nilikuwa nikisikia madarasa ya jirani kuna kelele nilikuwa naingia na kuwatazama wanafunzi wote kisha wananyamaza moja kwa moja!
 
Enzi zangu nikiwa monitor (primary school) nilikuwa nikisikia madarasa ya jirani kuna kelele nilikuwa naingia na kuwatazama wanafunzi wote kisha wananyamaza moja kwa moja!
Me nlikuw kiranja wa chakula(Bwalo) nkisimama pale mbele waliokaa pemben wanarud kwny mstari, na nlikuw mrefu japo sikuw na nyama
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ eti sura kuntu
 
Sura ngumu mikunjokunjo ya kutosha rangi nyeusi -halafu unakuta dem anakuambia ww handsome haya maisha daaaah 😁😁😁😁
 
me nasemaga wanawake wanahuruma mpka meme nina mademu wa kwenda!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume nimehurumiwa sura ukoo wa makande

Mungu awajalie aisee muwe na moyo huohuo
 
Nimekuja kigumu gumu
 

Attachments

  • IMG_20180209_235217.jpeg
    12 KB · Views: 31
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…