- Thread starter
- #101
mkuu nahitaji penzi lako
Na kwako pia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwako pia mkuu
Nipo mimi wa arobaini na kenda...KAMA KUNA MZEE MWENZANGU WA 42-50 NAKUSUBIRI PM TUBADILISHE MBOGA
Dah! Hatarious una-try na nani sasa au ni-test zali.twende sasa.Ok,fine.let me try sacrifice to somebody mwafulani....ajiandae na mafuta akishikwa ugoni
Ninaona ameshaniwahi. Ninaomba nijiondoe kwenye mashindano nisubiri zali la mentali. Ninasisitiza mjumbe asiache kuwa na mafuta.Sawa,nakuinbox soon
Nipo mimi wa arobaini na kenda...
Kazi ni kazi tu, hata kama ni mbovuMi nitajuaje kama kaz anaiweza,tusidanganyane hapa hatufahamiani kabisa
Siku hizi mwenye mke ndio hubakwaOk,fine.let me try sacrifice to somebody mwafulani....ajiandae na mafuta akishikwa ugoni
Businesswoman nitunuku.Wewe mdogo wangu kabisa
Nakuja kwa PM tuyajenge[emoji7]Kama mzee mwenzangu
Karibu,
Kwani tupo kwenye mashindano ya umri!? [emoji23] Si kwichi kwichi wajameni..Wewe mdogo wangu kabisa
Kwani tupo kwenye mashindano ya umri!? [emoji23] Si kwichi kwichi wajameni..
Sasa wee upate mzee mwenzio si mtapeana tabu, njoo kwangu bibie.. [emoji8] Gari bovu huvutwa na zima bibie.....
Unaogopa kutenguka kiuno? Daktari mzuri anatoa dozi kutokana na ugonjwa na mgonjwa.Hapana mzee mwenzangu tunapeana kwa afya
Chukua mkuumkuu nahitaji penzi lako
Chukua mkuu
weeee, wengine sisi tunajiuliza kama nyie wanawake ndo mtakuwa mnaweza shughuli? maana wasichana wa siku hizi wengi hamna jambo mnaboa tu, tunawafurahisha tu nyie mpaka tunachoka na kuboreka hamjui mamboooMi nitajuaje kama kaz anaiweza,tusidanganyane hapa hatufahamiani kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani tupo kwenye mashindano ya umri!? [emoji23] Si kwichi kwichi wajameni..
Sasa wee upate mzee mwenzio si mtapeana tabu, njoo kwangu bibie.. [emoji8] Gari bovu huvutwa na zima bibie.....