Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Kwa hiyo mkuu wewe huchoki yani kila siku unapiga bao sita?Hivi mwanaume unachoka choka vipi.. mbon naona haiwezkan?? Au kias ch nguv z kiume tunatofautiana
Mimi mwenyew nimeshangaa labda aiite ReplayNdo kolabo hio?
Sio kukosa nguvu inatokea pale kuna mambo mengi yanakusubiri au ulitaka kupumzika, inawezekana kushiriki masaa 12 pasipo kulala?Hivi mwanaume unachoka choka vipi.. mbon naona haiwezkan?? Au kias ch nguv z kiume tunatofautiana
Kolabo linafanyika kwa ushirikiano, sasa ushirikiano lazima uanze na watu wawili, mapenzi yanafanyika na watu wawili, chini ya watu wawili tunasema ni kujichuamm mwenyew nimeshangaa labda aiite Replay
Unsexual π€ͺWe jinsia gani kwanza?
Kwa hili inabidi watu wafunge mota viunoni πMpe mwenzako kitu roho inapenda mkuu au unataka achepuke uanze kuugulia moyoni
Utafika mbinguni umechoka Sana mkuu[emoji1787]nimekuja fasta nikijua kolabo mtungo
Kabisa[emoji4]wewe sio mwanaume rijali