Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa hapa BongoDuh mkuu hilo dili ulipiga bongo hapa hapa au nchi gan
Ilikuwa ni rushwa, katika taasisi ya serikali.Hilo dili lilikuwa la kifasad selikalin au la kijambaz
Nitamuoa BEF LASGNA
Hahahaaa! Haya ni moja ya maswali ambayo huwa siyajibu humu JF MkuuUnafanya kaz gan huko serikalin
Mkuu, huu uzi wako haujafikisha hata masaa mawili lakini una viewers wengi na comment za kutosha, vip hili wazo ulilitoa wapi?Unaogopa utamulikwa na mashushushu siyo?
Siwezi kuwa taahira namna hiyo.Jiintavyuu japo kwa kifupi tukujue mkuu
Hahaaaaaa mkuu utanivunja mbavu hukuSiwezi kuwa taahira namna hiyo.
We nahisi fisi wanakuchanganya, hizo akili zako inabidi ufanye uchunguzi maana inawezekana kuna mchawi mwenzio anakuchezea akili.
Hahahaha