Yaan too much kwa kweliKha..wee nawe unaoenda mambi ya migegedo...kwa kweli mumeo anafaidi
Sasa sisi tukusaidiajeMambo bado magumu aisee
Huyu ni fala eehSasa sisi tukusaidiaje
Aisee wee acha tu na hivi kasuka rasta amefanana na bob marley, afande sele si afende sele au lucky dube.Mbona kwenye dp alikuwa mrembo tofauti na sasa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu Mwifwa upo? umepotea sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daahh, hizi comment za mnaojijibu mnanichekesha sana
Aisee nn sasa?Aisee!!?
ni noma nini? kenge wewe kaa kwa kutulia kwenye nyuzi za watu. PumbavuNi noma
Mama yake kasema magawa alikuwa singo.Panya Magawa ana mali kiasi gani? Je ameacha mke na watoto wangapi na nani anawahudimia?