ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nyingine nzuri hii hapa π πKila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
Hata mkipigia kura upande ule, sisi ndio tutangazwa.
Ahaaa, kuna shida mahala sasaEngeza nikamwambia Katibu Mkuu Engeza vijana pale Utumishi PSRS vijana wapewe ajira wasiwe wanazagaa mitaani bila ajira vyuo vinajengwa kwa gharama kuengeza vijana wenye ujuzi.... lakini na nyinyi vijana mjiajiri Serekali haezi kuajiri vijana wote wanao engezeka kila siku
Mnakula mpaka mnavimbiwa! Aa!!Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
Nilimaliza kidato cha nne sikufanya vizuri