ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #41
Samia na Kiwahimiza Vijana kwenye mambo ya Siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwba alisema hivi kweli 😂😂 waandishi mnamsingizia
Pajama Hadi wakaiundia Kitabu.Kwba alisema hivi kweli 😂😂 waandishi mnamsingizia
Ase nimecheka sana ngoja nikae hapa nione nukuhuPajama Hadi wakaiundia Kitabu.
We amka wewe.
Af kumbe leo kapewa tuzo na ndio rais wa kwanza kupewaPajama Hadi wakaiundia Kitabu.
We amka wewe.
Bado hujaona ...Kaa kitaalam utaona mengi maigizo.Af kumbe leo kapewa tuzo na ndio rais wa kwanza kupewa
Ila ya kusema nitakupapasa imeniacha hoiBado hujaona ...Kaa kitaalam utaona mengi maigizo.
Samia na Shule za A level za Sayansi maarufu kama shule za Samia 👇 👇Ase nimecheka sana ngoja nikae hapa nione nukuhu
Ukinizingua nitakuzinguaIla ya kusema nitakupapasa imeniacha hoi
Samia na sekta ya Afya iliyompa tuzoAf kumbe leo kapewa tuzo na ndio rais wa kwanza kupewa
Wachezaji wa mpira wa miguu wana vifua "flat" inawakosesha mvuto na kupunguza uwezekano wa kuolewa sababu wataonekana kama wanaume tu.
View: https://youtu.be/dLSri0eGjms?si=PCMgxcMKxWWYwg20
Huyu bibi ni bure sana, uchumi unadorora majizi yanajichotea pesa yeye anaongelea matiti ya wanawake wenzie.
Very naive.
Hata Wadigo na Wasegeju hutamka hivyo.Hii sio Nukuu ni maelezo ya rafudhi na kiswahili Cha Kizanzibar
Dah.......! Kucheka ni afya, nimecheka sanaaaa.