Uzi wa Kuandika Nukuu Mbalimbali Kutoka Kwa Kinywa Cha Rais Samia

Uzi wa Kuandika Nukuu Mbalimbali Kutoka Kwa Kinywa Cha Rais Samia

Engeza nikamwambia Katibu Mkuu Engeza vijana pale Utumishi PSRS vijana wapewe ajira wasiwe wanazagaa mitaani bila ajira vyuo vinajengwa kwa gharama kuengeza vijana wenye ujuzi.... lakini na nyinyi vijana mjiajiri Serekali haezi kuajiri vijana wote wanao engezeka kila siku
Hii sio Nukuu ni maelezo ya rafudhi na kiswahili Cha Kizanzibar
 
Engezeni ubunifu katika kazi za kila siku
Samia na rushwa
Screenshot_20240321-230510.jpg
 
Hii sio Nukuu ni maelezo ya rafudhi na kiswahili Cha Kizanzibar
Na kwa kuengezea hilo nawaomba ndugu wajumbe tukae chini tuwasikilize Wazee si mnajua wanasema wazee wetu Isiyo Kongwe? Haivuishi, eeh ndugu wajumbe kwa kuengezea hapo ndio sasa Isiyo Kongwe haivushi, tuwasikie wazee Mzee Kikwete karibu uongee na wajumbe

Presida Sa100 S Hassan,
January, 2025
Dodoma
 
Tunarais wa Ajabu mno.
Mimi ni msikilizaji mzuri sana wa Hotuba za mwalimu na vitabu vyake.

Huyo BIBI na Nyerere ni mbingu na Ardhi.

WATANZANIA TUMEPIGWA MNO IPO SIKU TUTASHINDWA GNP DP NA SOMALIA.
Weka nukuu za Rais hapa, muulizeni Lisu anamjua Rais wa ajabu.

Samia na Cha malkia
Screenshot_20230116-061246_1.jpg
 
Na kwa kuengezea hilo nawaomba ndugu wajumbe tukae chini tuwasikilize Wazee si mnajua wanasema wazee wetu Isiyo Kongwe? Haivuishi, eeh ndugu wajumbe kwa kuengezea hapo ndio sasa Isiyo Kongwe haivushi, tuwasikie wazee Mzee Kikwete karibu uongee na wajumbe

Presida Sa100 S Hassan,
January, 2025
Dodoma
Hapo nimetoka bila bila kwenye hizo kongwe sijui nini?
 
Back
Top Bottom