ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #61
Sikuwahi jua kwamba Rais Samia ana misemo yenye mafumbo magumu kiasi hiki.Hata Wadigo na Wasegeju hutamka hivyo.
Wakuu wa Mashirika ya Umma waambiwa mambo ya Nguru,Sasa hiyo Nguru ndio nini? 👇👇