ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Hii sio Nukuu ni maelezo ya rafudhi na kiswahili Cha KizanzibarEngeza nikamwambia Katibu Mkuu Engeza vijana pale Utumishi PSRS vijana wapewe ajira wasiwe wanazagaa mitaani bila ajira vyuo vinajengwa kwa gharama kuengeza vijana wenye ujuzi.... lakini na nyinyi vijana mjiajiri Serekali haezi kuajiri vijana wote wanao engezeka kila siku
Samia na rushwaEngezeni ubunifu katika kazi za kila siku
Na kwa kuengezea hilo nawaomba ndugu wajumbe tukae chini tuwasikilize Wazee si mnajua wanasema wazee wetu Isiyo Kongwe? Haivuishi, eeh ndugu wajumbe kwa kuengezea hapo ndio sasa Isiyo Kongwe haivushi, tuwasikie wazee Mzee Kikwete karibu uongee na wajumbeHii sio Nukuu ni maelezo ya rafudhi na kiswahili Cha Kizanzibar
Weka nukuu za Rais hapa, muulizeni Lisu anamjua Rais wa ajabu.Tunarais wa Ajabu mno.
Mimi ni msikilizaji mzuri sana wa Hotuba za mwalimu na vitabu vyake.
Huyo BIBI na Nyerere ni mbingu na Ardhi.
WATANZANIA TUMEPIGWA MNO IPO SIKU TUTASHINDWA GNP DP NA SOMALIA.
Hapo nimetoka bila bila kwenye hizo kongwe sijui nini?Na kwa kuengezea hilo nawaomba ndugu wajumbe tukae chini tuwasikilize Wazee si mnajua wanasema wazee wetu Isiyo Kongwe? Haivuishi, eeh ndugu wajumbe kwa kuengezea hapo ndio sasa Isiyo Kongwe haivushi, tuwasikie wazee Mzee Kikwete karibu uongee na wajumbe
Presida Sa100 S Hassan,
January, 2025
Dodoma
Tuondolee hii takataka. Ana nini cha maana cha kusema huyu?
Utakopa wewe au tutakopa utakopa na nani?Lazima tukope tu. Na tutakopa
Jamani si kauli za Mheshimiwa?Utakopa wewe au tutakopa utakopa na nani?
Kwani hicho ulichosoma ni nini? Wewe za kwako hata msibani hawatazikumbuka.Tuondolee hii takataka. Ana nini cha maana cha kusema huyu?
Ndio kiswahl cha zanzibarEngezeni ubunifu katika kazi za kila siku
Utakopa wewe au tutakopa utakopa na nani?
Liwalo na liwe lazima tushinde asubuhi kabla ya misa ya kwanza....ππ
Kasi ndio hii hapa Sasa π πEngezeni kasi
Liwalo na liwe lazima tushinde asubuhi kabla ya misa ya kwanza....ππ
Kushinda nini, utajua mwenyewe!!
Msisahau hii, " katiba ni kitabu tu kama vingine!Usisahau ile ya Kifo ni kifo tuu
Samia na Afya ya Mama na Mtoto akiwa kama mama ππMsisahau hii, " katiba ni kitabu tu kama vingine!