ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #61
Sikuwahi jua kwamba Rais Samia ana misemo yenye mafumbo magumu kiasi hiki.Hata Wadigo na Wasegeju hutamka hivyo.
Ngoja nikuongezee hii aliyosema alifeli kidato cha nne.Kwani positive hujaziona?
Samia na Uchumi,hapa amewachamba Wapinzani ππ
View attachment 3225383
SawaNgoja nikuongezee hii aliyosema alifeli kidato cha nne.
Guess what?. alipiga BASHITE
View attachment 3225508
Hii kila mtu anaijuaKila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
Kwa hiyo Kabendera ndiyo msemaji wa Samia!!??Pajama Hadi wakaiundia Kitabu.
We amka wewe.
Hilo nalo ni "jengine"...!Engeza nikamwambia Katibu Mkuu Engeza vijana pale Utumishi PSRS vijana wapewe ajira wasiwe wanazagaa mitaani bila ajira vyuo vinajengwa kwa gharama kuengeza vijana wenye ujuzi.... lakini na nyinyi vijana mjiajiri Serekali haezi kuajiri vijana wote wanao engezeka kila
Kuleni tu msijali maadamu kamba zenu zinaruhusu
Hatari sana.Sasa nawaagiza hili mkalitizame hapo makao makuu Ibn Unuq
ππ