Uzi wa Kuandika Nukuu Mbalimbali Kutoka Kwa Kinywa Cha Rais Samia

Hahaa ukiwa na macho na masikio utabaini huyu mama ni galasa tu gula gula.
 
Your browser is not able to display this video.

Najua mawaziri mnapata kwenye maeneo yenu[mnaiba], sababu kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake [kila wizara inatofautiana mafungu kibajeti] ila sasa mnavimbiwa [mnaiba sana] hivyo sasa naomba mjipimie[muibe kidogo watu wasishtukie] .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…