Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Nawatakia Pasaka njema wakuu, tumekua pamoja na tutakua pamoja kwa Upendo wake Mungu.. Tuzidi kusambaziana Knowledge. Nawakubali sana kaka zangu
Barikiweni!
-Leonardo Da...
Mkuu nilikua nakusearch niangalie kama wameilift Ban yako lakini hata jina lako halitokei vipi umechange jina!?.

Happy Easter Ndugu!
 
Nimechelewa kuwatumia salamu mnisamehe kwa hilo jamani majukumu ya ndoa yananipenda zaidi.

Nianze na mme wangu anayenifanya niwe na raha kwenye dunia hii Mr Mshana Jr jua nakupenda na ninakupenda sana tu mimi ni wako baba usiwe na shaka.

Pamoja na watu wangu wa nguvu wafuatao nawakubali sana


Kipenzi rafikiiii Mwifwa
Neybright
Sakayo
Mrs Van
Inna
Mzigua90 na cephalocaudo
jje's na Kichwa Kichafu
Thad
Shunie na Davet
Jolie Jolie na hazard cfc
mumu na Mr Miller
Cajojo
usser

Sir Manga ML na Maserati
ledada
Sky Eclat

Queenever
Da Lu
carbamazepine
Mama Sabrina
geniveros
hearly
Numbisa
ISIS
Nalendwa
espy
Samaritan

Na wengine wotee majina magumu jaman mnisamehe .
Asante sana mrs.mshana jr
 
Na penda kutuma salamu za pasaka kwa wafuatao

Neybright
Sakayo
Mrs Van
Inna
Mzigua90 na cephalocaudo
jje's na Kichwa Kichafu
Thad
Shunie na Davet
Jolie Jolie na hazard cfc
mumu na Mr Miller
Demiss na Mshana Jr
usser
Afande Mifwa
Sir Manga ML na Maserati
ledada
Sky Eclat

Queenever
Da Lu
carbamazepine
Mama Sabrina
geniveros
hearly
Numbisa
ISIS
Nalendwa
espy
Samaritan
Ahsanteni woote kwa upendo mnao nionesha nawakubali saaana wengine mmekuwa ndugu zangu kabsa humu.

Special thanks kwa ndugu zangu woote wa, threads za
Usiku wa manane -nna wathamini sana nyie watu
Hadithi zote za Shunnie
Real Madrid na Barcelona
Man utd na Juventus
Yanga
Hahah!! Shukrani sana mkuu naona umeniweka sambamba na mama la mama
 
Back
Top Bottom