Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Nimechelewa kuwatumia salamu mnisamehe kwa hilo jamani majukumu ya ndoa yananipenda zaidi.

Nianze na mme wangu anayenifanya niwe na raha kwenye dunia hii Mr Mshana Jr jua nakupenda na ninakupenda sana tu mimi ni wako baba usiwe na shaka.

Pamoja na watu wangu wa nguvu wafuatao nawakubali sana


Kipenzi rafikiiii Mwifwa
Neybright
Sakayo
Mrs Van
Inna
Mzigua90 na cephalocaudo
jje's na Kichwa Kichafu
Thad
Shunie na Davet
Jolie Jolie na hazard cfc
mumu na Mr Miller
Cajojo
usser

Sir Manga ML na Maserati
ledada
Sky Eclat

Queenever
Da Lu
carbamazepine
Mama Sabrina
geniveros
hearly
Numbisa
ISIS
Nalendwa
espy
Samaritan

Na wengine wotee majina magumu jaman mnisamehe .
Asante saaaana babe ake mshana
 
Mm nawatakia pasaka njema,
Mh raisi wetu mpendwa
Kamanda sirro
Paulo makonda
Mohammed dewij
Tulia akison
Alexander mnyeti
Tito mhando na wengine wenye ugeni huu wa pasaka
Janne muro mbona simuoni kwenye list?
 
Back
Top Bottom