Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Hamna ule uzi kwangu ni kama home, hata sku hizi naona watu wana pungua kuja je nikisema yeye ndio ana tuchafua atakataa?
Hata wewe sometimes huwa una kuja tuna enjoy je siku ukiacha kuja nitamtazamaje yy?

Muonye bhana mi huwa na mshow love sana sijakubaliana na hilo.ukiusema usiku wa manene unaisema familia yangu.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Hamna ule uzi kwangu ni kama home, hata sku hizi naona watu wana pungua kuja je nikisema yeye ndio ana tuchafua atakataa?
Hata wewe sometimes huwa una kuja tuna enjoy je siku ukiacha kuja nitamtazamaje yy?

Muonye bhana mi huwa na mshow love sana sijakubaliana na hilo.ukiusema usiku wa manene unaisema familia yangu.
Kule watu wanakuja na kupotea,ila ni uzi mzuri sana kwa walinzi kama sisi
 
Jamani haujanikosea kitu hivi kweli mtu upo sawa utakesha jf usiku wote seriously una mke wako au mbebez wako anakupa kampani utakumbuka kukesha kule yaan kule ni masingle na deep mawazu mnisamehe tu jamani nawapenda nitakuja siku kuwatembelea nikiwa kiwanja nakesha
Wewe toka umenifahamu uliwahi kuona nakulalamikia mimi ni mpweke au nna mawazo?, okey lets say niko single, kwani alo kwambia kuwa kwenye ndoa ni achevement nani? Mbona walio kwenye ndoa nao wana stress tupu! Ule uzi ni ndugu zangu wale, unavo tusema una achieve nini? Je wewe nikitaka ni ziquestion nyuzi zako na wasomaji wako unadhani siwezi? Utajiskia poa?
Kama una mtu una ugonvi naye kule deal naye yeye kama yeye dont drag my good people in your conclusions.

Ule uzi una beautiful people kama hau upendi usitu insult

Am angry!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wakunyumba huyu kaka namuelewaaaaa shida sheria mob. Mi bwana mpaka unifike hapaaa ndo ntaachana na haya maisha yangu ya Dar
 
Back
Top Bottom