Uzi wa kupeana fursa za kazi na ajira

Uzi wa kupeana fursa za kazi na ajira

INJECTION TECHNICIAN

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2020
Posts
356
Reaction score
794
WAKUU HUU UZI MAALUMU WA MAJOBLESS

Wakutiana Moto na kufarijiana kwa yote tunayopitia vile vile kupeana fursa na taarifa kuhusu utafutaji kazi

NIANZE NA MIMI
Huu mwezi wa pili tangia nisimamishwe kazi nilipokuwa nafanya kazi NI mkoani geita geita gold kutokana na kashfa ya pombe nimerudi dar jua kali cjui naanzia wap karibuni wakuu

MWENYE fursa ya kazi anipe Mimi ni fundi magari
 
WAKUU HUU UZI MAALUMU WA MAJOBLESS

Wakutiana Moto na kufarijiana kwa yote tunayopitia vile vile kupeana fursa na taarifa kuhusu utafutaji kazi

NIANZE NA MIMI
Huu mwezi wa pili tangia nisimamishwe kazi nilipokuwa nafanya kazi NI mkoani geita geita gold kutokana na kashfa ya pombe nimerudi dar jua kali cjui naanzia wap karibuni wakuu

MWENYE fursa ya kazi anipe Mimi ni fundi magari
Anzia Gereji Bubu za Dar utapata connection nyingine
 
WAKUU HUU UZI MAALUMU WA MAJOBLESS

Wakutiana Moto na kufarijiana kwa yote tunayopitia vile vile kupeana fursa na taarifa kuhusu utafutaji kazi

NIANZE NA MIMI
Huu mwezi wa pili tangia nisimamishwe kazi nilipokuwa nafanya kazi NI mkoani geita geita gold kutokana na kashfa ya pombe nimerudi dar jua kali cjui naanzia wap karibuni wakuu

MWENYE fursa ya kazi anipe Mimi ni fundi magari
nenda kwa miraba minne ujitambulishe wewe mwana jf akuajiri pale gereji kwake
 
WAKUU HUU UZI MAALUMU WA MAJOBLESS

Wakutiana Moto na kufarijiana kwa yote tunayopitia vile vile kupeana fursa na taarifa kuhusu utafutaji kazi

NIANZE NA MIMI
Huu mwezi wa pili tangia nisimamishwe kazi nilipokuwa nafanya kazi NI mkoani geita geita gold kutokana na kashfa ya pombe nimerudi dar jua kali cjui naanzia wap karibuni wakuu

MWENYE fursa ya kazi anipe Mimi ni fundi magari
Umevuna ulicho kipanda,karibu dah!
 
Sina hakika ila nadhani magomeni. mtag huenda akakufikiria katika ufalme wake ila bila shaka hataki fundi mlevi
No sio mlevi kwamba nililewa yaani Wana kipimo cha pombe sasa pombe nilikunywa nilivyokuwa off labda tuseme jana yake mchana mpaka jioni nimeamk niko sawa sina dalili ya hangover kufika job nashika kipimo kinalia Kama ndo natoka kunywa
 
Brow sie majobless hyo pesa tunaitoa wapi labda tuanzieshe mradi wa kutafutiana kazi ukipata anachangia chama
hahaha tuanzishe chama halafu tuvae tshirt za mama tukisema sisi majobless tunamuunga mkono mama basi viongozi tutaanza kupokea pesa na misaada na kutembea kifua mbele huku wanachama wakiwa wanalia na kusaga meno.
utasikia chama cha majobless kimechangia milion 70 kwa ajili ya kumchukulia form.
 
Angalia odds leo kuna gems kali kweli kweli mzee
WAKUU HUU UZI MAALUMU WA MAJOBLESS

Wakutiana Moto na kufarijiana kwa yote tunayopitia vile vile kupeana fursa na taarifa kuhusu utafutaji kazi

NIANZE NA MIMI
Huu mwezi wa pili tangia nisimamishwe kazi nilipokuwa nafanya kazi NI mkoani geita geita gold kutokana na kashfa ya pombe nimerudi dar jua kali cjui naanzia wap karibuni wakuu

MWENYE fursa ya kazi anipe Mimi ni fundi magari
 
Nakuja na kazi ya kufanyia popote ulipo, kaa tayari.

Update: hii hapa 👇

Tangazo la Kazi: Fursa ya Kuwa Wakala wa Sahili Marketplace Network

22nd Oct 2024

Sahili Marketplace Network inatafuta vijana kutoka karibu kila mkoa wa Tanzania ili kusaidia wajasiriamali kujisajili na kufungua maduka kwenye mtandao wetu mpya wa biashara kwa wajasiriamali nchini. Tunahitaji watu kutoka mikoa ifuatayo:

  • Mwanza (3)
  • Dodoma (2)
  • Dar Es Salaam (3)
  • Arusha (2)
  • Mbeya (3)
  • Morogoro (2)
  • Tanga (2)
  • Kigoma (2)
  • Kagera (2)
  • Shinyanga (3)
  • Pwani (2)
  • Iringa (2)
  • Tabora (2)
  • Singida (2)
  • Kilimanjaro (2)
  • Lindi (2)
  • Ruvuma (2)
  • Mtwara (2)
  • Manyara (2)
  • Geita (2)
  • Njombe (2)
  • Mara (2)
  • Katavi (2)
  • Simiyu (2)
  • Rukwa (2)

Kila wilaya itapata mawakala zaidi kulingana na mahitaji yanavyoongezeka hapo baadaye.

Kuhusu Sahili Marketplace Network:
Sahili Marketplace Network ni jukwaa la kipekee linalowaleta pamoja wajasiriamali wa Tanzania.
Screenshot_20241022-151723_Chrome.jpg

Ni soko la mtandaoni ambapo watumiaji wanaweza kuuza na kununua bidhaa, kujadili na kutoa maoni, pamoja na kupata makala na blogu za kijasiriamali. Tunahimiza ubunifu na tunatoa fursa kwa wajasiriamali wa bidhaa za asili na za kienyeji kuwa sehemu ya mtandao huu. Tunasisitiza hii ni kwa wale wanaozalisha bidhaa zao iwe ni kibinafsi au ni kiwanda kidogo, cha kati na hata kikubwa.

Malipo:
  • Malipo ni kwa mfumo wa kamisheni (%). Kwanza, utasajili watu watano bure bila malipo, kisha utalipwa kwa kila mtu wa ziada utakayemsajili (pendekezo ni TZS 1,000 kwa kila mtu). Kwa mfano, ukisajili watu 25 kwa siku, utapata TZS 25,000.
  • Kipengele hiki cha watu watano wa kwanza kimewekwa ili kuepuka mawakala kujisajili wenyewe au kudai malipo bila kusajili wajasiriamali halisi.

Kumbuka: Kila mjasiriamali anakaribishwa kujisajili. Kujisajili kwa mjasiriamali yeyote ni BURE halipwi wala halipii (maana hawajavuka watu watano). Wanaolipwa ni hao mawakala watakaowasaidia kujisajili. Kwa hivyo wewe mjasiriamali ambaye tayari unauza bidhaa zako Sahili Marketplace Network, unakaribishwa kuwaalika wajasiriamali wenzako kujisajili. Kumbuka katika 'nanenane effect' tunauza zaidi kadri tunavyowapata watu wengi zaidi kuhudhuria maonesho haya ma mtandaoni. Ukivuka watu watano unastahili kupokea comission% ni kusema tu, mimi fulani duka langu ni fulani, nimemsajili 12345678910.

Majukumu ya Kazi:
1. Kusajili wajasiriamali binafsi wanaouza bidhaa walizotengeneza wenyewe kwenye mtandao wa wajasiriamali Tanzania. Hawa wanaweza kuwa wabunifu, wataalamu wa tiba asilia, na wajasiriamali wengine.
2. Kwa kila unayemsajili, kumfungulia duka na kuweka bidhaa mbili au zaidi katika maduka yao. Tunapendekeza kila duka liweke bidhaa si chini ya nne ili kuboresha muonekano wa duka kwenye mtandao.

Sifa Zinazohitajika:
1. Ujuzi wa kutumia simu au kompyuta na intaneti.
2. Uelewa wa jinsi ya kutumia mtandao wa Sahili Marketplace (utapatiwa kipeperushi cha mwongozo).
3. Uwezo wa kuwapata wajasiriamali wenye sifa zinazostahili, ambao wana barua pepe, ni Watanzania, na wanatengeneza bidhaa zao wenyewe mbalimbali. Nakupa mfano wa katika picha hii:
Screenshot_20241022-151635_Chrome.jpg


Faida:
  • Wakala atakayefanya vizuri anaweza kuajiriwa kama mtoa huduma kwa wateja na kufanya kazi kutoka nyumbani (remote work) kwa malipo mazuri.
  • Kufanya vizuri kunakozungumziwa sio idadi pekee bali ni ubora wa watu unaowasajili, ubora wa maelezo mnavyoyaweka na ubora wa picha mnazopiga kiufupi 'Quality is the code we live by'

Jinsi ya Kuanza:
  • Kwa mawasiliano na maelezo zaidi, tafadhali tuwasiliane kupitia PM au WhatsApp 0734189022 kabla ya kuanza kazi.
  • Ili kuepuka kuwa na mawakala wengi kwenye mkoa mmoja, tafadhali uliza kwanza kama nafasi ipo kwa mkoa wako kwa kusema, "Nipo mkoa X, nataka kuanza kazi, je nafasi ipo?"

Mwisho wa Kuomba (Deadline):
Wiki moja baada ya tangazo hili kutolewa.

Jiunge nasi sasa, kuwa sehemu ya mapinduzi ya biashara ya mtandaoni Tanzania kupitia Sahili Marketplace Network!
 

Attachments

Back
Top Bottom