Wauzaji wa containers
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 615
- 1,443
Hata Kama hauna Kazi don't call yourself a Jobless .
Hii mbinu inasaidia Sana
Hii mbinu inasaidia Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiwasi ni nini, pesa au? Tutarekebisha tupate kwanza walio siriazi na kazi.Ukipata mtu nimekaa palee.
Nimefanya facebook ads kidogo sasa naona conversion ndogo. Nikaasume ni kutokana na target people hao wajasiriamali mfano waganga wa kienyeji, wasuka mikeka, waunda vyungu exposure ni ndogo ya mtandao. Ndo nnataka vijana wawasaidiePesa ndogo sana, mimi nashauri u run ads campaigns Facebook na Instagram u targrt wafanyabiashara wa mikoa tajwa ila utapata matokeo mazuri zaidi ukianza na Dar (uipe campaign yake) na kampeni yapili uweke mikoa ya Dodoma, Arusha na Mwanza, yatatu uweke mikoa iliyosalia yote.