Uzi wa kupeana fursa za kazi na ajira

Nimefanya facebook ads kidogo sasa naona conversion ndogo. Nikaasume ni kutokana na target people hao wajasiriamali mfano waganga wa kienyeji, wasuka mikeka, waunda vyungu exposure ni ndogo ya mtandao. Ndo nnataka vijana wawasaidie

Nikahisi labda wanahitajika hao wajasiriamali kuongozwa na vijana ili wafungue accounts. Hata hivyo watakaoonesha interest tutajadili malipo wakiwa wameshaiona kazi linajadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…