rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Kimara corner na uzuri unafika pale unaangalia ukiona hakuna unazotaka unaweka oda yako, zinakuwa zimevunjika kdg sn kwenye angle kitu ambacho sio issue sn maana mafundi zile hua wanazikata maaana ata hizo mpya ni lazima ukute zimevunjika na lazima zikatwe hakuna nyumba inakosa vipande vya tiles, so kwa sisi wa kuunga unga inafaa snUlipata wapi Mkuu tupe chimbo hilo