Uzi wa kupeana machimbo mbalimbali ya vifaa vya ujenzi na bei zake

Uzi wa kupeana machimbo mbalimbali ya vifaa vya ujenzi na bei zake

Si kweli..nanunua hardware kabisa ata mfuko mmoja napata
Kumbuka jamaa kamdanganyia kwa usafiri. Mimi nimefanya ujenzi maeneo ya mwananchi tbt, cement wanauza 16000. Ila kigamboni kibada 14500.
So hata sehemu nyingine kiwa 17500 ni sawa.

Cha msingi na umuhimu kaokoa pesa hata kidogo.


Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka jamaa kamdanganyia kwa usafiri. Mimi nimefanya ujenzi maeneo ya mwananchi tbt, cement wanauza 16000. Ila kigamboni kibada 14500.
So hata sehemu nyingine kiwa 17500 ni sawa.

Cha msingi na umuhimu kaokoa pesa hata kidogo.


Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
14,500/= kwa kibada ni camel cement ila nyati cement ni 14,700/= pale kwa tiger na jamaa wale wako jirani na njia panda ya mwasonga.
 
Naanza na Mimi
Nilipata mbao kutoka kwa Ustaadhi mmoja hivi pale Buguruni. Fundi wangu aliniambia nimtume yeye akachukue yeye kwa TZS 450/futi 2x2 na TZS 900/ft Kwa 4x2. Alisema nikienda mimi nitapewa mbao mbichi, zisizo na dawa au zenye vidonda.

Nilivyoenda mwenyewe nilipata kwa TZS 350 mbao za 2x2 na TZS 700 mbao za 4x2. Yawezekana najiona cheaper kumbe nami nimepigwa bado ila ni angalau kuliko hardware za hapo napojenga.

Bati geji 30 nilipata kwa TZS 11,500/mita kiwandani Dragon.
Ukiweka na Gharama za usafiri unaweza kuta bora ungenunua hapo hapo mtaani unapojenga.
 
Hizi 4 by 2 nilinunua shs 4500 Buguruni
Screenshot_20230406-063447~2.png


Duh,
Ina maana mdau alienunua kila futi kwa TZS 700 kweli kapigwa parefu tu.
 
Naomba kujua kwa dar wapi ntapata tiles kwa bei ya viwandani
Kuna jamaa yangu alinipa ujanja kuhusu tiles. Akasema sio mara zote tiles zinatakiwa zitumike zikiwa nzima bali kuna zenye zitakatwa kwa sababu moja ama ingine.

Sasa kuna tiles huuzwa kama rejected sababu tu tiles kadhaa zimepata hitilafu. Yaan kwenye box la tils 15 labda tiles 3 zimemeguka pembeni hivyo box zima linauzwa kama rejected Kwa bei nafuu.
 
Kuna jamaa yangu alinipa ujanja kuhusu tiles. Akasema sio mara zote tiles zinatakiwa zitumike zikiwa nzima bali kuna zenye zitakatwa kwa sababu moja ama ingine.

Sasa kuna tiles huuzwa kama rejected sababu tu tiles kadhaa zimepata hitilafu. Yaan kwenye box la tils 15 labda tiles 3 zimemeguka pembeni hivyo box zima linauzwa kama rejected Kwa bei nafuu.
So nikifika dukan niulize rejected tiles
 
Back
Top Bottom