Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Huwa hawawezi kutaja ni fulani ndiye kafanya. Ukilazimisha anakuchonganisha
Maana mm nilienda maana nilipoteza million 2 kwenye beer kumbe Kuna nyingine marafiki waliniibia jamaa ni mganga wa kuaminika Tanga akanieleza Kila kitu kimbembe ni hatari kunitajia aliniambia nitaona kwenye ndoto na mm nilikuwa narudi dar siku hiyo nikataka anitajie. Ila nishagombana nao wote sahivyi Nina kampani nyingine ya kunywa
 
Hivi hamna mganga anayeweza nisaidia kuwa naweza pata mbususu bila kuhonga?
 
Kuna mmoja ni mwenyekiti wa kijiji huko Geita vijijini huyu ni mtaalamu wa kukamata wezi mfano unaibiwa ibiwa mazao shambani au mifugo au vitu nyumbani basi huyu mwamba anakunyooshea ngoja nikipata muda ntapitia notebook yangu niweke namba ya simu na jina la kijiji kata.

Nb: geita na kanda ya ziwa ina idadi kubwa sana ya waganga ukienda hata kwenye magulio na minada yao unakuta kuna watu wanauza material za kufanyia ulozi na uganga
 
Sasa sikieni,
Kuna mtu amenidhulumu kama 40mil hivi. Nataka anirudishie hii hela au aondoke tu nikadai changu msibani.

Ila kitu kimoja Kwa Sasa sina hela ya kumlipa mganga hivyo nikilipwa hizo nazodai ndio nitatoa humo humo ya mganga pamoja na ahsante kwa atakaeniunganisha.

Mwenye anajua hii issue ina solvika vipi karibu DM.

NB
Mdaiwa wangu anaweza nae kua ni mshirikina hatari pia hivyo mtaalam wa hii mambo awe yuko vizuri tu.
 
Njoo dm
 
Kuhusu hao watu waliopewa nguvu za kusaidia jamii zao ukienda kwa wasukuma-MWANZA &GEITA kuna historia ya bwana anaitwa Ng'wana Marundi wakikuelezea mpaka unashangaa
 
Huyu jamaa ni wa manyoni sio?
 
Na ukipenda sana waganga mwisho utavikwa nyota la kichawi huna Imani ndo maana visomo havifanyi kazi visomo vyataka subra sana matokeo huchelewa ila ilijibu imejibu wewe pendelea waganga utakuja na Uzi unaojuta kwenda kwa waganga kwanza wengine wanaishia kuiba nyota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…