Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Kuna mmoja ni mwenyekiti wa kijiji huko Geita vijijini huyu ni mtaalamu wa kukamata wezi mfano unaibiwa ibiwa mazao shambani au mifugo au vitu nyumbani basi huyu mwamba anakunyooshea ngoja nikipata muda ntapitia notebook yangu niweke namba ya simu na jina la kijiji kata.

Nb: geita na kanda ya ziwa ina idadi kubwa sana ya waganga ukienda hata kwenye magulio na minada yao unakuta kuna watu wanauza material za kufanyia ulozi na uganga
Please nisaidie huyu wa kuzuia na kukamata wezi maana Kila kitu kwangu nimesimamisha Kwa Sababu ya wezi
 
Dunia Ni uwanja wa mapambano.
Maisha hayamsubiri Mtu, maisha Ni kuwaza nje ya box, Bila kusahau ukitaka kunukia Uwarudi kuwa nao Karibu. Heshima kwa huyu mwamba wa Tanga. Nina biashara flan zlikuwa zinapita hata sku 2 sijauza na dukan kuna Kila kitu ila upande wa pili the same business anauza mbaya.
Baada ya kung'atwa sikio kuwa kuna sehem mamb kuna fundi skuchelewa na matokeo nayaona. Kulala na 2M kwa jambo la kawaida, wakat mwazo wiki unalaza laki moj asee.
 

Attachments

  • 255742925176_status_6de1a5fa26e847b994235d9c445d7dfb.jpg
    255742925176_status_6de1a5fa26e847b994235d9c445d7dfb.jpg
    18.7 KB · Views: 62
Dondoka Sumbawanga pale panda gari kuelekea Namanyele. Hapo unapewa Msharti ya kuchakata mbususu kadri uwezavyo. Sasa hakuna dem ambaye atakukataa maana kauli yako inakua amri kwake. Sasa. Muhim zaidi lazima uchukue Ute wa ndani ya uke Kisha ukaweke kwenye chupa. Fanya hivyo kwa Kila mwanamke. Sasa huyo mwanamke
 
Siyo PROMO ila wakuu Tambueni kuna waganga wanajua nyie!.
Kuna mwamba yuko TANGA alooh!
Ila yeye kabobea kwenye upande wa biashara sana sana. Mwamba anaijua kazi yake. Just imagine una Business ya mtaji wa 30M lakin wahuni wanakuchezea siku mbili inaisha unapiga mwayo tu. Ila baada ya kusafisha mamb unauza 2M within a day.
 
Siyo PROMO ila wakuu Tambueni kuna waganga wanajua nyie!.
Kuna mwamba yuko TANGA alooh!
Ila yeye kabobea kwenye upande wa biashara sana sana. Mwamba anaijua kazi yake. Just imagine una Business ya mtaji wa 30M lakin wahuni wanakuchezea siku mbili inaisha unapiga mwayo tu. Ila baada ya kusafisha mamb unauza 2M within a day.
Si utupe connection
 
Huu Uzi Maalumu wa Kupeana Connection Za Waganga wa Kienyeji na Shuhuda Mbalimbali.

Kikubwa Toa Shuhuda Elezea Location Alipo Mawasiliano sio Muhimu kwa Kuwa watembeaji ni Watu wa Kujiongeza.

Nitaanza mimi.

1. Mganga wa Kwanza Nilikutana Naye kigoma Huko wilaya Ya Kakonko , Alikuwa Mama wa Makamo Mwenye Mguu Mbovu , Yule Mama Alikuwa Kiboko Aisee Akikufanyia Jambo Lazima lishike.

Kwanza Ukifika Kwake Kazi Anafanya Asubuhi tu Saa 12 mpka sa4 mwisho , Ukiingia Tu Unakutana na Kitambaa Ukutani kama Kuna Wabaya waliowahi kukufanyia kitu kibaya wote utawaona pale na vitu vyote walivyokufanyia , Mkishaangalia pamoja ndio Anaanza Matibabu.

Huyu ndiye aliyenifanya niamini baadhi ya Mambo tunayo yaonaga kwenye muvie za Kinigeria kuwa Yapo . Alikuwa kiboko sanaa kwa maradhi ya kimwili na wale wanaotaka hela za masharti . Kwa bahati mbaya mwaka jana niliambiwa amekufa kamwachia mtoto wake sijajua kama huyo mtoto atakuwa balaa kama Mama yake.

2. Nikajongea maeneo ya Biharamulo huko Nilikutana na Fundi ambaye anapiga Ramli Usiku yani huyu ni kiboko ya Wasiri , Nikienda pale akianza ramli anauwezo wakumuita mtu yoyote popote Alipo atakuja na Atatoa siri zote yaani ataongea kila kitu . Huyu nilikutana na baadhi ya viongozi wanaofichuaga siri za watu ila huyu mganga naye nilimwamini kwa kiasi fulani ingawa sikupata tiba kwake mana nilienda kuwasikiliza na kuwaita baadhi Ya watu.

3. Kuna mmoja Nilienda kwake Aisee huyu yeye nilimuona hamna kitu alikuwa maeneo ya Ukerewe kwanza picha inaanza kila alichoniambia alinambia vitu ambavyo sijawahi fanya wala kunikuta ila akawa anakomaa kuwa hayo ndo matatizo yangu yule mzee nilimkubalia ila nilivotoka sikurudi kabisa.

4. Kuna Mganga Nilikutana Naye maeneo ya Bagamoyo ni shehe yeye anatumia visomo binafsi sio muumini sanaa wa kusomewa kwani naona ni sawa tu na kuombewa unaweza fanikisha au usifanikishe , Yule mzeee Alinipeleka baharini Tukavunja nazi na Kusoma Dua zao zile ila yule kilichonipeleka sikukufanikisha Japo wenyeji walikuwa wakimsifia sanaa.

Nishakutana na waganga wengi mpka wa Dar es Salaam wakweli na Waongo ila Asikudanganye mtu Ukiamua kuamini waganga wapo watakaokusaidia na wapo watakaokupoteza kikubwa ni Kuwatambua tu , Uzuri ukishakuwa mtembeaji sanaa Huwezi Danganywa kinjinga.

Mi ngoja niishie hapa wengine endeleeni mtoe mliyokutana nayo kwa Waganga huko , saivi natafuta connection ya Kwamsisi kuna mambo nataka nikawaone Nao Ujuzi wao
Mkuu vp huyo wa Biharamulo naweza para namba zake
 
S
Sasa sikieni,
Kuna mtu amenidhulumu kama 40mil hivi. Nataka anirudishie hii hela au aondoke tu nikadai changu msibani.

Ila kitu kimoja Kwa Sasa sina hela ya kumlipa mganga hivyo nikilipwa hizo nazodai ndio nitatoa humo humo ya mganga pamoja na ahsante kwa atakaeniunganisha.

Mwenye anajua hii issue ina solvika vipi karibu DM.

NB
Mdaiwa wangu anaweza nae kua ni mshirikina hatari pia hivyo mtaalam wa hii mambo awe yuko vizuri tu.
huyo mtu mwenyewe hiyo pesa ya kukulipa anayo? Halafu fanya vyote usiue mtu, maana hakuna utachopata kwa kumuua
 
Back
Top Bottom