Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

M
Sasa sikieni,
Kuna mtu amenidhulumu kama 40mil hivi. Nataka anirudishie hii hela au aondoke tu nikadai changu msibani.

Ila kitu kimoja Kwa Sasa sina hela ya kumlipa mganga hivyo nikilipwa hizo nazodai ndio nitatoa humo humo ya mganga pamoja na ahsante kwa atakaeniunganisha.

Mwenye anajua hii issue ina solvika vipi karibu DM.

NB
Mdaiwa wangu anaweza nae kua ni mshirikina hatari pia hivyo mtaalam wa hii mambo awe yuko vizuri tu.
Mtafute Huyu 0767314587, yy anakufanyia kazi malipo mtalipana baada ya ww kufanikiwa hitaji lako, sasa ujifanye mjuaji utake kumdhulumu maji utaita mma.
 
Kuna jamaa alikuwa na mke wake ,sasa baadae akaongeza mke wa pili

Maisha yakasogea sana basi yule mke wa kwanza akaona huu ni ujinga akaenda kwa mganga wa kwanza ili kutaka mke wa pili aachike lakin mganga yule hakuweza

Akaenda kwa mganga wa pili zikapigwa nyungu za kutosha

Siku ya pili tu asububi yule mke wa pili anataka talaka yake.
Mume anashangaa kulikoni kwani nimekukosea nini??
Mke hataki kuelewa anamwambia ww niache tu sitaki kuishi na wewe
.mumu kagoma kutoa talaka ,ikabidi mke aende polisi kushinikiza talaka


Mume akaona isiwe tabu akaandika talaka akampa mke , na mwisho wao ukaishia hapo


Uchawi upo ndugu zangu

Na hawa waliofanyiana hivi ni watu ninao wafahamu kabisa wa kijijini kwetu
Kivumbi leo
 
Mi natafuta mganga wa utajiri hata kama nitaishi muda mfupi ili afanikishe lengo la kuwa tajiri nipo serious mkuu.

Masharti yoyote nipo tayari kasoro la kutoa kafara ndugu wa karibu.

Kazaura tu Mkuu ktk utaftaji, badili michapamo tu kuna siku utajipata, kuna Mende mmoja Lindi huko anadai anatoa Utajiri, yeye kafara yake ni kishilingi tu, hutaki kutoa damu barida, yeye anakupa Option ya kikatili zaidi, kwamba kila mwezi unaenda kwake kupigwa mbupu! Sasa si u):$;;!:$:&! Huo! Kama tu mkuu utatoboa
 
Mtu mwenye assert zenye thamani zaidi mill 700 huyu naye unasema sio tqjiri tena ni mtu aliyetoka kwenye umasikini wakuishi nyumba ya mzazi wake akiwa na familia yake kiufupi jamaa uganga umemtoa kimaisha
I wish nijue maisha yake na familia yake!
 
Enheeee..SASA mkuu kipi nafuu, mganga masikini akufanyie mambo yako yanyooke au Pastor Tajiri anaezidi kukukamua hela na hakuna unachofanikisha??

Sijui nimeeleweka?
Bora Kaa kwako,soma neno la Mungu,muombee Mungu
 
Ukitafakari kwa makini, wengi waliofanikiwa walipata mganga wa kweli ila wana mbwembwe nyingi "mara Mungu kanijalia" sema hivi kwa ufasaha "Mungu kanijalia kupata mganga wa kweli". Tusidanganyane bwana. Hata hawa jamii ya "Bwana asifiwe mambo ni yale yale".
Big No,Mungu hawezi kukujakia upate mganga!
Mungu hachangamani!
Waseme ukweli tu kuwa wakifanikiwa kupitia upande huo sio kumsingizia Mungu!

Lkn wapi wanaofanikiwa Kwa kumtegemea Mungu kabisa!
Tatizi hatutaki process,Kwa Mungu hakuna shortcut
 
Back
Top Bottom