King_mwanamalundi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2019
- 373
- 558
Toa namba mzee watu tuishihufi ila yule mwamba anahakikisha unatembelea ndala moja nyekundu ingine kijani yuko nyuma ya hospitali ya moja maarufu binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa namba mzee watu tuishihufi ila yule mwamba anahakikisha unatembelea ndala moja nyekundu ingine kijani yuko nyuma ya hospitali ya moja maarufu binafsi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namba ya yule mtaalam wa namanyere ninayo karibu pm
Kuna watu kiu yao ni nguvu na mamlaka rohoni kuliko haya mambo tuyaonayo kwa macho ya kawaida tuNipo karibu na mganga mmoja hapa jilani yangu, nayaona maVx yanaingia hapa lakini miye namdharau mno.
Nyumba aliyonayo ni ya kimasikini.
Ila gari zinazoingia hapo unashangaa tu
khiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiWa wap unaye mkuu ? Kama ni Geita nitajie KIJIJI Tu na jina la mtaal
Mtafute Huyu 0767314587, yy anakufanyia kazi malipo mtalipana baada ya ww kufanikiwa hitaji lako, sasa ujifanye mjuaji utake kumdhulumu maji utaita mma.Sasa sikieni,
Kuna mtu amenidhulumu kama 40mil hivi. Nataka anirudishie hii hela au aondoke tu nikadai changu msibani.
Ila kitu kimoja Kwa Sasa sina hela ya kumlipa mganga hivyo nikilipwa hizo nazodai ndio nitatoa humo humo ya mganga pamoja na ahsante kwa atakaeniunganisha.
Mwenye anajua hii issue ina solvika vipi karibu DM.
NB
Mdaiwa wangu anaweza nae kua ni mshirikina hatari pia hivyo mtaalam wa hii mambo awe yuko vizuri tu.
NyanokoBebe nang'ho lekaga genayo [emoji23]
watu wengine mnatafuta u-maarufu tu nadhaniYuko chanika hadi HIV anatibu ni mama 0672300848
nenda tibiwa kwanza pona ndio ulipewatu wengine mnatafuta u-maarufu tu nadhani
Ki simple simple tu mtu apone ngw'engw'e
: 47578059, member: 410172"]Naombeni namba ya mtaalamu hali mbaya
Kivumbi leoKuna jamaa alikuwa na mke wake ,sasa baadae akaongeza mke wa pili
Maisha yakasogea sana basi yule mke wa kwanza akaona huu ni ujinga akaenda kwa mganga wa kwanza ili kutaka mke wa pili aachike lakin mganga yule hakuweza
Akaenda kwa mganga wa pili zikapigwa nyungu za kutosha
Siku ya pili tu asububi yule mke wa pili anataka talaka yake.
Mume anashangaa kulikoni kwani nimekukosea nini??
Mke hataki kuelewa anamwambia ww niache tu sitaki kuishi na wewe
.mumu kagoma kutoa talaka ,ikabidi mke aende polisi kushinikiza talaka
Mume akaona isiwe tabu akaandika talaka akampa mke , na mwisho wao ukaishia hapo
Uchawi upo ndugu zangu
Na hawa waliofanyiana hivi ni watu ninao wafahamu kabisa wa kijijini kwetu
Nani huyo?😂Tengeneza kitabu uuze kama yule anayeuza connections za machimbo Kariakoo
Mi natafuta mganga wa utajiri hata kama nitaishi muda mfupi ili afanikishe lengo la kuwa tajiri nipo serious mkuu.
Masharti yoyote nipo tayari kasoro la kutoa kafara ndugu wa karibu.
Hao wapiga ramli tu. Tena chonganishi! Mganga awashe tv tuangalieKwa ambaye hajawahi fika utawadanganya sana sana kuhusu kuwaona wabaya wako
Waganga wana kawaida ya kutotaja wahusika wa kitu.
I wish nijue maisha yake na familia yake!Mtu mwenye assert zenye thamani zaidi mill 700 huyu naye unasema sio tqjiri tena ni mtu aliyetoka kwenye umasikini wakuishi nyumba ya mzazi wake akiwa na familia yake kiufupi jamaa uganga umemtoa kimaisha
Sio zama hiziJaman funguken asilimia 98 wabongo tunaenda kwa waganga mbona uzi hausogei? Au nyote ni wachamungu
Bora Kaa kwako,soma neno la Mungu,muombee MunguEnheeee..SASA mkuu kipi nafuu, mganga masikini akufanyie mambo yako yanyooke au Pastor Tajiri anaezidi kukukamua hela na hakuna unachofanikisha??
Sijui nimeeleweka?
Big No,Mungu hawezi kukujakia upate mganga!Ukitafakari kwa makini, wengi waliofanikiwa walipata mganga wa kweli ila wana mbwembwe nyingi "mara Mungu kanijalia" sema hivi kwa ufasaha "Mungu kanijalia kupata mganga wa kweli". Tusidanganyane bwana. Hata hawa jamii ya "Bwana asifiwe mambo ni yale yale".