adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,732
- 4,901
NzengeliWaganga wote wizi tu.
Nipe jina moja tu la mganga wa kienyeji anaetoa Tina zenye guarantee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NzengeliWaganga wote wizi tu.
Nipe jina moja tu la mganga wa kienyeji anaetoa Tina zenye guarantee.
Na ajabu ,Bado wanatafuta wagangaIla kuna watu mnahangaika aisee. Au ndo nyie mkija huku mnasema hamna Mungu. Aisee mtegemeeni Mungu jamani huku ndiko kwenye suluhisho
Kabisa waganga ndo wezi wa nyota za watu wanaoenda hukoNa ukipenda sana waganga mwisho utavikwa nyota la kichawi huna Imani ndo maana visomo havifanyi kazi visomo vyataka subra sana matokeo huchelewa ila ilijibu imejibu wewe pendelea waganga utakuja na Uzi unaojuta kwenda kwa waganga kwanza wengine wanaishia kuiba nyota
🤣🤣🤣🤣Kuna watu mpaka wananukia kiganga kiganga nsiwataje ila kashajijua.
Na wanawake sikuhizi wameshtukaDondoka Sumbawanga pale panda gari kuelekea Namanyele. Hapo unapewa Msharti ya kuchakata mbususu kadri uwezavyo. Sasa hakuna dem ambaye atakukataa maana kauli yako inakua amri kwake. Sasa. Muhim zaidi lazima uchukue Ute wa ndani ya uke Kisha ukaweke kwenye chupa. Fanya hivyo kwa Kila mwanamke. Sasa huyo mwanamke
Upunguze sasa kwenda kwa waganga🤣🤣🤣🤣
Haya mambo siamini kwa sababu tuu mazingira niliyokua na kuaminishwa uganga ni kitukibaya, lakini haya ndio mambo mababu zetu walikuwa wakifanya, mkoloni kaja katurisha sumu basi kila kitu chetu ni kibaya, mkoloni alituondoa kwenye reli na inawezekana kabisa babu zetu walikuwa na vitu vizuri kabisaMnapoteza Muda tu
Mafanikio hamna
Maisha Magumu hayaishi
Ngw'enuyu mbuli duhu😁Bebe nang'ho lekaga genayo 😂
Kwa hiyo wewe ukila pisi kali ndio umemaliza na hutaki nyingine tena?Logically hao wote watakua waongo. Sababu kama umekutana na "A" na akawa mzuri basi usingekua na haja ya kwenda Kwa B, C, D au E.
Au kama A alikua muongo ukaja kukutana na B mkweli basi ungeishia hapo hapo kwe B ukawa unamtumia tu huyo huyo
Nkome maeneo ganiKuna Mganga maeneo haya ya Nkome Geita anaitwa Mariam, huyu mama ni bigwa wa jutibu vichaa, binafsi kuna mtu wangu wa karibu alitibiwa kwa muda mfupi sana.
[emoji23][emoji23]Kwa hiyo wewe ukila pisi kali ndio umemaliza na hutaki nyingine tena?
Na Yesu nimwachie nani?Upunguze sasa kwenda kwa waganga
Huyo kwenye avatar ni wewe?Na Yesu nimwachie nani?
Kwann mkuu?Huyo kwenye avatar ni wewe?
Wapo mkuuNina imani, hapa hakuna mtu aliye wahi kwenda kwa mganga wa kienyeji. Ni wapiga soga na story za kwenye kahawa.
Ukifanikiwa nipe connection ndugu yanguMi natafuta mganga wa utajiri hata kama nitaishi muda mfupi ili afanikishe lengo la kuwa tajiri nipo serious mkuu.
Masharti yoyote nipo tayari kasoro la kutoa kafara ndugu wa karibu.
Tushamtegemea sana mkuu lakini hakuna matokeo na umri hautusubiriMtegemee muumba wako
nyara za serikali