fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Am here the witchdoctor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo pm unipe numberKuna mmoja alinifanya nifanye mtihani bila ada. Huyu ni kiboko nimetoboa chuo Kwa mbinde sana.
Nilipomaliza Hilo basi sijajihusisha Tena na ishu za shirki😀😀
Mungu anisamehe tu ni shida zilinielemea
Ila kama unahitaji mawasiliano nicheki pm
Naomba basi namba ya yule mganga wako kaka.😃😃😃kila kitu hapa tz kinahitaji connection na energy ya kutosha
Ndio kanuni, Ulishawahi sikia mtu aliyeuawa baada ya kupeleka taarifa za siri polisi.Mimi aliniuzi juzi kati mmoja Tanga et ananiambia anawajua alafu ananiambia kutokana na field yake hawezi kuwataja
Mi natafuta mganga wa utajiri hata kama nitaishi muda mfupi ili afanikishe lengo la kuwa tajiri nipo serious mkuu.LEO naomba Tuwasaidie wale ambao nauli za kwenda mkoani Hawana , Hivi Kuna Waganga wakweli dar au bagamoyo ? Kama unamjua taja jina na Mahali anapopatikana Haina haja ya Mawasiliano Anayehitaji Atamtafuta.
kaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ipoHuu Uzi Maalumu wa Kupeana Connection Za Waganga wa Kienyeji na Shuhuda Mbalimbali.
Kikubwa Toa Shuhuda Elezea Location Alipo Mawasiliano sio Muhimu kwa Kuwa watembeaji ni Watu wa Kujiongeza.
Nitaanza mimi.
1. Mganga wa Kwanza Nilikutana Naye kigoma Huko wilaya Ya Kakonko , Alikuwa Mama wa Makamo Mwenye Mguu Mbovu , Yule Mama Alikuwa Kiboko Aisee Akikufanyia Jambo Lazima lishike.
Kwanza Ukifika Kwake Kazi Anafanya Asubuhi tu Saa 12 mpka sa4 mwisho , Ukiingia Tu Unakutana na Kitambaa Ukutani kama Kuna Wabaya waliowahi kukufanyia kitu kibaya wote utawaona pale na vitu vyote walivyokufanyia , Mkishaangalia pamoja ndio Anaanza Matibabu.
Huyu ndiye aliyenifanya niamini baadhi ya Mambo tunayo yaonaga kwenye muvie za Kinigeria kuwa Yapo . Alikuwa kiboko sanaa kwa maradhi ya kimwili na wale wanaotaka hela za masharti . Kwa bahati mbaya mwaka jana niliambiwa amekufa kamwachia mtoto wake sijajua kama huyo mtoto atakuwa balaa kama Mama yake.
2. Nikajongea maeneo ya Biharamulo huko Nilikutana na Fundi ambaye anapiga Ramli Usiku yani huyu ni kiboko ya Wasiri , Nikienda pale akianza ramli anauwezo wakumuita mtu yoyote popote Alipo atakuja na Atatoa siri zote yaani ataongea kila kitu . Huyu nilikutana na baadhi ya viongozi wanaofichuaga siri za watu ila huyu mganga naye nilimwamini kwa kiasi fulani ingawa sikupata tiba kwake mana nilienda kuwasikiliza na kuwaita baadhi Ya watu.
3. Kuna mmoja Nilienda kwake Aisee huyu yeye nilimuona hamna kitu alikuwa maeneo ya Ukerewe kwanza picha inaanza kila alichoniambia alinambia vitu ambavyo sijawahi fanya wala kunikuta ila akawa anakomaa kuwa hayo ndo matatizo yangu yule mzee nilimkubalia ila nilivotoka sikurudi kabisa.
4. Kuna Mganga Nilikutana Naye maeneo ya Bagamoyo ni shehe yeye anatumia visomo binafsi sio muumini sanaa wa kusomewa kwani naona ni sawa tu na kuombewa unaweza fanikisha au usifanikishe , Yule mzeee Alinipeleka baharini Tukavunja nazi na Kusoma Dua zao zile ila yule kilichonipeleka sikukufanikisha Japo wenyeji walikuwa wakimsifia sanaa.
Nishakutana na waganga wengi mpka wa Dar es Salaam wakweli na Waongo ila Asikudanganye mtu Ukiamua kuamini waganga wapo watakaokusaidia na wapo watakaokupoteza kikubwa ni Kuwatambua tu , Uzuri ukishakuwa mtembeaji sanaa Huwezi Danganywa kinjinga.
Mi ngoja niishie hapa wengine endeleeni mtoe mliyokutana nayo kwa Waganga huko , saivi natafuta connection ya Kwamsisi kuna mambo nataka nikawaone Nao Ujuzi wao
Acha uongo,, NKOME hapa hapa?Kuna Mganga maeneo haya ya Nkome Geita anaitwa Mariam, huyu mama ni bigwa wa jutibu vichaa, binafsi kuna mtu wangu wa karibu alitibiwa kwa muda mfupi sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Daaaahh life hili ni balaaahhNajua wengi watadharau ila mimi niliingia hizi mambo baada ya fala mmoja kunivunjia ndoa yangu alikuwa msela tu yuko TRA si unajua mikwanja njenje akapita na mama Vero wangu mpaka akavunja ndoa niliumia sana afu Kijana alikuwa Tycoon nilimwendea magomeni tu sio mbali si watu wanasema Dar hakuna waganga ?? Acha bhana ilifanyika kazi kwanza yule kijana aliandika barua ya kuacha kazi mwenyewe imegine mshahara wa M3 na zaidi sasa hivi kachoka vibaya sana anasimamia vibanda vya chips
hufi ila yule mwamba anahakikisha unatembelea ndala moja nyekundu ingine kijani yuko nyuma ya hospitali ya moja maarufu binafsi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Daaaahh life hili ni balaaahh
MmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhSasa sikieni,
Kuna mtu amenidhulumu kama 40mil hivi. Nataka anirudishie hii hela au aondoke tu nikadai changu msibani.
Ila kitu kimoja Kwa Sasa sina hela ya kumlipa mganga hivyo nikilipwa hizo nazodai ndio nitatoa humo humo ya mganga pamoja na ahsante kwa atakaeniunganisha.
Mwenye anajua hii issue ina solvika vipi karibu DM.
NB
Mdaiwa wangu anaweza nae kua ni mshirikina hatari pia hivyo mtaalam wa hii mambo awe yuko vizuri tu.
kumrudia Mungu is the best wayAcheni ulozi
KaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahMwenye connection ya mganga anayetibu maradhi Kwa ustadi wa hali ya juu anisaidie.
Awe Kanda ya ziwa hasa hasa Geita
Wa wap unaye mkuu ? Kama ni Geita nitajie KIJIJI Tu na jina la mtaalamuTatizo tukiweka namba zao wengi watajua ni promo ila waganga wapo wanatibu hadi HIV kwa makubaliano unatibiwa unakaa mwaka baada ya kupona ndio unalipa hakuna utaperi wala nini
Waganga wote wizi tu.Mkuu uko sahihi.
ila kumbuka waganga nao wanatofautiana mbinu na vitu walivyobobea
Nipe connection mkuuKama unahakika kadhurumu hata awe mshirikina vipi bro kuna mzee moja hapo magomeni ni hatari anamfanyia hafi ila utamwona tu atachoka kiuchumi balaa hadi utamwonea huruma
Aliwahi kuwa shinyanga huyu?Kuna Mganga maeneo haya ya Nkome Geita anaitwa Mariam, huyu mama ni bigwa wa jutibu vichaa, binafsi kuna mtu wangu wa karibu alitibiwa kwa muda mfupi sana.
Huyo wa kuchoka ki uchumi nitalipwa vipi Sasa. Anatakiwa apate janga ili ndugu zake na yeye mwenyewe wajichange lisiwakute baya zaidiKama unahakika kadhurumu hata awe mshirikina vipi bro kuna mzee moja hapo magomeni ni hatari anamfanyia hafi ila utamwona tu atachoka kiuchumi balaa hadi utamwonea huruma